Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Sio kwamba watachukua mshahara kima cha chini ile 23% yak ndo kwa kila mtumishi maoni ya mdau miruzi imekuwa mingi
 
hujui chochote kuhusu ongezeko la mishahara wewe kama hujui hesabu za range and function hapa ndo mahali pake sasa
 
Hiyo formula haiwezi fanya Kazi.......

Ongezeko hilo la Rais Samia, ni kwa wale tu waliokuwa wanapata kiwango cha chini cha 270,000.🥺
Mkuu, ni kwa wote ila wenye mishahara mikubwa wanapata asilimia ndogo. Yaani asilimia inashuka kulingana na ukubwa wa mshara wa mtu huku wenye mishahara midogo wakipata asilimia kubwa.
 
Hii kima cha chini inahitaji utulivu na kufuatilia historia vizuri ya utoaji wa taarifa ya kuongezeka kwa mishahara


Rejea huko nyuma

RAIS Jakaya Kikwete ametaja kima cha chini cha mishahara ya watumishi wa umma kuwa ni Sh 135,000 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 107 tangu aingie madarakani mwaka 2005 alipokuta mshahara wa Sh65,000 kwa mwezi.Hili ni sawa na ongezeko la Sh31,000 kwenye mishahara ya kima cha chini ya Sh104,000 iliyokuwa ikilipwa na serikali kwa watuhimishi wa umma mwaka wa fedha ulioishia June 2010.

Rais kikwete aligusia kima hicho cha mishahara katika hotuba yake aliyoitoa jana bungeni wakati akilivunja rasmi bunge la tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuanza kwa Uchaguzi Mkuu.

Alisema ongezeko hilo la mishahara ni mafanikiwa makubwa kwa serikali yake ikilinganishwa na serikali zilizomtangulia.

"Katika kipindi hiki tumepandisha kima cha chini cha mishahara ya watumishi wa umma kutoka Sh 65,000 mwaka 2005 mpaka Sh 135,000 mwaka huu sawa na ongezeko la asilimia 107," alisema Rais Kikwete
 
Hiyo formula haiwezi fanya Kazi.......

Ongezeko hilo la Rais Samia, ni kwa wale tu waliokuwa wanapata kiwango cha chini cha 270,000.🥺
Samahani mkuu....
Hizi kuna watu walikua wanapata 270,000 serilakini...??😳
 
Ni hivi, rais ameongeza mshahara 23% ya mshahara wa kima cha chini kwa wafanyakaz wote .

Hakuna mahali wamesema rais ameongezea wenye kima cha chini tu. Hii ina maana gani,

Hii ina maana kuwa mshahara utaongezeka kwa 23% ya kima cha chini kwa wote, mfano kima cha chini let say ni laki 3, hivyo 23% yake ni elf 69,

Hivyo hata kama mshahara wako ni mil 1, unatoa kima cha chini ambacho ni laki 3, unatafuta 23% yake ambayo ni elf 69, Alaf unajumlisha na hiyo mil 1, kwaiyo mshahara wako utakuwa mil 1 na elf 69.

Hivo ndo maana yake, haya sasa anzieni hapo kujua mishahara yenu itakuwaje
 
Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??
Ndivyo ilivyoandikwa kwenye barua iliyotolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu, kwamba ameridhia ongezeko la Mshahara ikiwemo na Kima cha chini.
 
Hadi sasa ni bilabila,sijaona nishike lipi mimi ambaye siko serikalini ila ndugu yangu yuko serikalini,anasunibiria nimpe jibu sahihi huko aliko.
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Kwa wale wa kima cha chini. Haimaanishi itaongezeka hivyo kwa wote.
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!

Njia rahisi kwa mfano ulioutoa ni kuchukua mshahara wako wa sasa zidisha kwa 1.28 unapata mshahara wako mpya, badala ya kuzunguka njia ndefu za kujumlisha. Kwa mfano kama mshahsra wako ni 1,200,000 na nyongeza yako ni 15%, basi mshahara mpya utakuwa 1,200,000x1.15 = 1,380,000/-
 
Hiyo formula haiwezi fanya Kazi.......

Ongezeko hilo la Rais Samia, ni kwa wale tu waliokuwa wanapata kiwango cha chini cha 270,000.[emoji3064]
Barua imesema "ikiwemo kima cha chini" na sio "ni kwa kimo cha chini" maana yake ni wote, soma paragraph ya kwanza
IMG-20220514-WA0022.jpg
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Duh, ndio nini hiki?
Kwanini unafanya mambo kuwa magumu?

Kama nyongeza ni 23% si ni rahisi tu?
Kama unalipwa
Basic Salary 1,000,000/=
Mshahara wako Mpya ni 1,230,000/= nini kuwa chosha watu?

Easy take basic salary x 0.23 then jibu jumlisha na Basic Salary! Thats will be ur new Salary if things will work as it is stated.
 
Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??
Hii Sahihi, endapo wataongeza kweli.

Hii ni kwa walimu ama?
 
Back
Top Bottom