Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Usitumie BANGI. Serikali Haipendi
Ni hivi, rais ameongeza mshahara 23% ya mshahara wa kima cha chini kwa wafanyakaz wote .

Hakuna mahali wamesema rais ameongezea wenye kima cha chini tu. Hii ina maana gani,

Hii ina maana kuwa mshahara utaongezeka kwa 23% ya kima cha chini kwa wote, mfano kima cha chini let say ni laki 3, hivyo 23% yake ni elf 69,

Hivyo hata kama mshahara wako ni mil 1, unatoa kima cha chini ambacho ni laki 3, unatafuta 23% yake ambayo ni elf 69, Alaf unajumlisha na hiyo mil 1, kwaiyo mshahara wako utakuwa mil 1 na elf 69.

Hivo ndo maana yake, haya sasa anzieni hapo kujua mishahara yenu itakuwaje
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Huna akili. Na una matatizo kichwani
 
Tunataka kujua kiwango halisi ili na sisi wafanya biashara tupandishe Bei bidhaa zetu. Ova!
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Umeongea pumba tuu,waachie wenye fani
 
Ongezeko la 23% ni kwa wanaopata kima cha chini

Wengine mtajikuta na ongezeko hata la 7%
 
Njia rahisi kwa mfano ulioutoa ni kuchukua mshahara wako wa sasa zidisha kwa 1.28 unapata mshahara wako mpya, badala ya kuzunguka njia ndefu za kujumlisha. Kwa mfano kama mshahsra wako ni 1,200,000 na nyongeza yako ni 15%, basi mshahara mpya utakuwa 1,200,000x1.15 = 1,380,000/-
Kamdanganye poyoyo
 
Njia rahisi kwa mfano ulioutoa ni kuchukua mshahara wako wa sasa zidisha kwa 1.28 unapata mshahara wako mpya, badala ya kuzunguka njia ndefu za kujumlisha. Kwa mfano kama mshahsra wako ni 1,200,000 na nyongeza yako ni 15%, basi mshahara mpya utakuwa 1,200,000x1.15 = 1,380,000/-
Very correct
 
Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.

Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Kwa ufupi sana, kwa hiyo hapo 28% uliyotolea mfano, just chukua mshahara wako wa zamani zidisha na 1.28 utapata mshahara mpya
 
Mwaka 2017 mzee Dr. Mohammed Shein alitangaza nyongeza ya 100% kwa kima cha chini.

Wazenji wote tukashangilia Sana, na tukaanza kuzidisha mara mbili mishahara yetu.

Kumbe neno kima cha chini lina maana sana.

Wenye akili wamenielewa
Yaani walioongezewa ni hao kima cha chini tu, wewe kama siyo kima cha chini endelea na mshahara wako wa 1947
 
Mshahara wa kina cha Chini ndio Umepanda kwa Asilimia 23 kadiri Mshahara unavyoongezea ndio na Asilimia ya kupanda inavyopungua
km Mshahara wa kina Chini umepanda kwa Asilimia 23 inawezekana Mshahara wa kima cha juu umepanda kwa Asilimia 10

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ingekuwa hivyo basi kuna siku watumishi wa ngazi za chini wangelingana au kuwazidi watumishi walio juu yao. Ngoma inaongezeka kote kote, kuanzia chini hadi juu
 
Njia rahisi kwa mfano ulioutoa ni kuchukua mshahara wako wa sasa zidisha kwa 1.28 unapata mshahara wako mpya, badala ya kuzunguka njia ndefu za kujumlisha. Kwa mfano kama mshahsra wako ni 1,200,000 na nyongeza yako ni 15%, basi mshahara mpya utakuwa 1,200,000x1.15 = 1,380,000/-
Ina Maana kwa 23.3% kwa TGTS E
Ni sawa na 1.233× 940000/= 1159020/=? Kweli!!?nashangaa sana wakuu!!
 
Back
Top Bottom