Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Usitumie BANGI. Serikali Haipendi
Ni hivi, rais ameongeza mshahara 23% ya mshahara wa kima cha chini kwa wafanyakaz wote .
Hakuna mahali wamesema rais ameongezea wenye kima cha chini tu. Hii ina maana gani,
Hii ina maana kuwa mshahara utaongezeka kwa 23% ya kima cha chini kwa wote, mfano kima cha chini let say ni laki 3, hivyo 23% yake ni elf 69,
Hivyo hata kama mshahara wako ni mil 1, unatoa kima cha chini ambacho ni laki 3, unatafuta 23% yake ambayo ni elf 69, Alaf unajumlisha na hiyo mil 1, kwaiyo mshahara wako utakuwa mil 1 na elf 69.
Hivo ndo maana yake, haya sasa anzieni hapo kujua mishahara yenu itakuwaje