Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??
Ndio hivyo sasa usichokubali ni nini?? Walimu bhana, mmezoea dhiki, shida, mateso, manyanyaso na chuki, hivyo kama mshazoea umasikini hivi.
MSHAHARA UNAONGEZWA KWA KILA MTU NA KWA KILA KADA KWA 23.3%. UTOFAUTI UTAONEKANA KWENYE KODI KWANI KODI HUTOZWA KAMA IFUATAVYO HAPA CHINI.
1. 332,000 Kushuka chini HAKUNA KODI.
2. 332,000 - 760,000
TAX = 20,000 + 20% Ziada ya 332,000.
3. 760,000 - 1,000,000
Tax = 68,000 + 25% ziada ya 760,000
4. 1,000,000 na Kuendelea
Tax = 128,000 + 30% ziada ya 1,000,000.
Wewe angalia utakuwa wapi katika nyongeza hiyo kisha unajua sasa kodi kiwango gani utalipa.