Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Haya twende Sasa

PAY wanakata asilimia ngapi?
Bima ya afya asilimia ngapi?
Michango ya uanachama asilimia ngapi?
Kwa wale wa elimu ya juu asilimia ngapi?
Hapo unashindwa kuelewa nini ndugu! Hiyo pesa niliyo ifanyia hesabu ni kiasi kilicho ongezeka bila makato.. issue ya makato ni jambo lingine
 
Tafuta 23.3 ya mshahara wako, baada ya hapo jibu lako utaongeza na mshahara wako wa awali.

Eg. (300,000/- msh.) = 100%

X = 23.3

X. = 69,900/- ongezeko

:°• (300,000/- )+( 69,900) = 369900/-


369900 ndio mshahara baada ya ongezeko.
Uko sawa!
 
Mnazidi wachanganya tu watumishi hivi serikalini msemaji wa serikali si aje atoe ufafanuzi au wale wandishi wetu wa you tube vipi hii siyo habari mbona issue za kija Jeff na kanze mnapanda mpaka magari vipi mnashimdwa mpigia sm waziri mwenye dhamana akafafanua hili suala maanaa watumishi kama hawaelewi vile
Mkuu huo mshahara ni daraja D Wameogezewa 17.3.View attachment 2225020
 
Mnazidi wachanganya tu watumishi hivi serikalini msemaji wa serikali si aje atoe ufafanuzi au wale wandishi wetu wa you tube vipi hii siyo habari mbona issue za kija Jeff na kanze mnapanda mpaka magari vipi mnashimdwa mpigia sm waziri mwenye dhamana akafafanua hili suala maanaa watumishi kama hawaelewi vile
Mkuu mpangilio wa nyongeza za mishaha ni huu.Kipi hakieleweki hapo toka kima cha chini mpaka cha juu kila mmoja na nyongeza yake.
Screenshot_20220515-073358.jpg
 
Sawa watumishi nami nitatangaza nauli mpya kwenye bajaji zangu.
 
Mfano kwa wale walimu grade A..chukua basic salary yako ambayo ni kama Sh.419,000/=,zidisha mara 23.3% kisha gawanya kwa 100,utapata 97,627.

Kisha chukua 419,000 ongeza hiyo 97,627 utapata

Sh.516,627/=.Huo ndo mshahara wako mpya kabla ya makato...
 
Mkuu mpangilio wa nyongeza za mishaha ni huu.Kipi hakieleweki hapo toka kima cha chini mpaka cha juu kila mmoja na nyongeza yake.View attachment 2225046
Na ESijiara, na stigilajoji, na vituo vya mabasi, Maji vijijini na udhibiti wa bei, uhakika wa Umeme vitafanyiwa kazi bila tatizo lolote. Yaani hakuna kulalamika Tena, mpo?
 
Mkuu hiyo asilimia 23.3% ni kwa wale tu ambao walikuwa wanapata mshahara wa kima cha chini
Kima cha chin kuanzia sh ngap mkuu,na watumishi gan wa serikali wanaolipw kima cha chini,naomb ufafanuzi tafadhali
 
Kinachoendelea kwenye huu Uzi ni indication of poverty !! Utumishi ni kazi sana !
 
Mfano kwa wale walimu grade A..chukua basic salary yako ambayo ni kama Sh.419,000/=,zidisha mara 23.3% kisha gawanya kwa 100,utapata 97,627.

Kisha chukua 419,000 ongeza hiyo 97,627 utapata

Sh.516,627/=.Huo ndo mshahara wako mpya kabla ya makato...
Huu nd ukweli mkuu,wengne wanabwabwaja tu wakat hesabu znawapig chenga
 
Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??
Ndio hivyo sasa usichokubali ni nini?? Walimu bhana, mmezoea dhiki, shida, mateso, manyanyaso na chuki, hivyo kama mshazoea umasikini hivi.

MSHAHARA UNAONGEZWA KWA KILA MTU NA KWA KILA KADA KWA 23.3%. UTOFAUTI UTAONEKANA KWENYE KODI KWANI KODI HUTOZWA KAMA IFUATAVYO HAPA CHINI.

1. 332,000 Kushuka chini HAKUNA KODI.

2. 332,000 - 760,000
TAX = 20,000 + 20% Ziada ya 332,000.

3. 760,000 - 1,000,000
Tax = 68,000 + 25% ziada ya 760,000

4. 1,000,000 na Kuendelea
Tax = 128,000 + 30% ziada ya 1,000,000.

Wewe angalia utakuwa wapi katika nyongeza hiyo kisha unajua sasa kodi kiwango gani utalipa.
 
Mwaka 2017 mzee Dr. Mohammed Shein alitangaza nyongeza ya 100% kwa kima cha chini.

Wazenji wote tukashangilia Sana, na tukaanza kuzidisha mara mbili mishahara yetu.

Kumbe neno kima cha chini lina maana sana.

Wenye akili wamenielewa
Hakutangaza mishahara wewe kichwa PANZI. ALIPANDISHA LEVEL YA KIWANGO KIPI KITATUMIKA KUANZA KUKATWA KODI.
 
Barua imesema "ikiwemo kima cha chini" na sio "ni kwa kimo cha chini" maana yake ni wote, soma paragraph ya kwanzaView attachment 2224480
Siku hizi vijana hamjui Kiswahili tena? Ukisoma vizuri hiyo barua inaonesha kwamba kilichopandishwa kwa 23.3% ni kima cha chini. Soma hivi: amekubali nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma ikiwemo kima cha chini kwa 23.3%. Kwa hiyo wale wa madaraja mengine hatujui watapandishiwa kwa asilimia ngapi?
 
Tatizo wabongo kujua kwingi.
Gvt inawachora ikiona mshaelekea kibra inawapiga na kitu kizito.
 
Kima cha chin kuanzia sh ngap mkuu,na watumishi gan wa serikali wanaolipw kima cha chini,naomb ufafanuzi tafadhali
Kima cha chini sijui ni sh ngapi na wanaolipwa kcc siwajui mkuu, ila najua wapo maana kila siku nasikia wanasemwa
 
Back
Top Bottom