Hiyo formula haiwezi fanya Kazi.......Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
MkuuNimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Umranzisha na uzi mkuu wakati huna uhakika na ulichoandika mbaya zaidi umeingia mwituniNimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??
Tanzania imejaa vi.laza ndio maana wanasiasa wanatamba sana! Kama mshahara umeongezeka kwa asilimia 23% kwa mishahara yote, je kuna haja gani ya kusema Rais ameridhia ongezeko la 23% ya kima cha chini cha Mshahara!
Kama ni kwa wote si wangesema tu Serikali imeongeza mishahara kwa asilimia 23%.
Ngojeni akina Mrisho Mpoto na Mwijaku waje wawaeleweshe ndo mtawaelewa vizuri.
Sio kweli! Wale wa kima cha chini wataongezewa kwa 23.3% ambacho ndiyo kitakuwa kiwango cha juu zaidi. Wengine watapata nyongeza accordingly lakini itakuwa ni china ya 23.3% na kiwango kinapungua kulingana na mshahara unavyoongezeka.Kwa wale waliokuwa na kima Cha chini wewe tulia kwanza 🤣🤣🤣
Tupo Ajiraportal mkuu, usitufokee!98% ya wanaobwekwa bweka hapa na kutaka kujua SIYYO WATUMISHI
Hawa wengine mpaka wakuu wa idara itakuwa kweny 9%Wa kima cha chini ndio hiyo formula ita apply
Mshahara wa kina cha Chini ndio Umepanda kwa Asilimia 23 kadiri Mshahara unavyoongezea ndio na Asilimia ya kupanda inavyopunguaNimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
HuelewekiNimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!