Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

Ukiondoa kima cha chini hiyo 23.3% wengine watalamba 2%, 4, 12, 7 , 8 etc ila hawatafika ongezeko la watu wa kima cha chini. Uko sahihi kabisa mkuu.
Usinilishe maneno! Sikumaanisha hivyo, mara zote kote duniani nyongeza ya mishahara huwa kinatajwa kiwango cha wale wanaopokea kima cha chini. Nashangaa kwanini sasa hivi watu wanatokwa povu as if ni kitu kipya.
 
Hapa unazungumzia kima kipi? Cha chini, kati au juu?
 
Mbona kwenye tanagazo hawajasema kwa kima cha chini, ila wameandika ikiwemo kima cha chini.
Hapo sasa, Rais kasema ongezeko kwa wote ikiwemo kima cha chini. Ila watu wanakazania ooh kima cha chini tu... Yani sijui ni wivu [emoji1][emoji1] mtu anaona haimuhusu hii so anaona akatishe wenzie tamaa.
 
Tukubali,, Tanzania kuongeza Mishahara kwa asilimia 23%,, kwa Wafanyakazi wote ni ndoto za Abunuasi. Hapo kilichowekwa wazi ni Benchmark ya kima cha chini tu tu kwamba ni 23%,, hii statement '' ikiwemo kima cha chini kwa asilimia 23" muielewe vizuri. Yani hapo kila scale ina percent yake sema hawajataka kuweka wazi. Subiri mtakachokutana nacho julai ndio mtajua siasa ni mbaya kwa afya za wananchi😰😰😰😰😰
 
Zaidi ya ramli chonganishi !!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nyongeza ya aina hiyo !!! Hadithi za Sindbad baharia !!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wenye mishahara Yao wataiona kwenye salary slip zao. Wengine wataipanga huku jf. .

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kweli Watumishi mlikuwa na NJAA sana ya mshahara

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Chukua mshahara wako GROSS SALARY X 1.233 = MSHAHARA MPYA


HAKUNA HAJA YA MBWEMBWE NYINGI... ILA HII KWA KIMA CHA CHINI
Hesabu inakusumbua,,hebu angalia hyo hesabu yako.

Gross salary ×0.233[emoji736]
Gross salary ×1.233[emoji777]
 
Hesabu inakusumbua,,hebu angalia hyo hesabu yako.

Gross salary ×0.233[emoji736]
Gross salary ×1.233[emoji777]
😁 hapa wewe ndo umepuyanga. Yako ni nyongeza siyo gross salary.
 
%23.3 imeongezwa kwa kima cha chini, kadri mshahara unapoongezeka kutoka kima cha chini basi hiyo % inaenda ikipungua, yaani kulingana na ukubwa wa mshahara kuna ambaye ongezeko litakuwa <%5 nenda na ile principal ya " increasing with decreasing rate "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…