ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Usinilishe maneno! Sikumaanisha hivyo, mara zote kote duniani nyongeza ya mishahara huwa kinatajwa kiwango cha wale wanaopokea kima cha chini. Nashangaa kwanini sasa hivi watu wanatokwa povu as if ni kitu kipya.Ukiondoa kima cha chini hiyo 23.3% wengine watalamba 2%, 4, 12, 7 , 8 etc ila hawatafika ongezeko la watu wa kima cha chini. Uko sahihi kabisa mkuu.
Mbona kwenye tanagazo hawajasema kwa kima cha chini, ila wameandika ikiwemo kima cha chini.Kwa wale wa kima cha chini. Haimaanishi itaongezeka hivyo kwa wote.
Hapa unazungumzia kima kipi? Cha chini, kati au juu?Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Hapo sasa, Rais kasema ongezeko kwa wote ikiwemo kima cha chini. Ila watu wanakazania ooh kima cha chini tu... Yani sijui ni wivu [emoji1][emoji1] mtu anaona haimuhusu hii so anaona akatishe wenzie tamaa.Mbona kwenye tanagazo hawajasema kwa kima cha chini, ila wameandika ikiwemo kima cha chini.
Mkuu hii imetoka wapi?Mkuu mpangilio wa nyongeza za mishaha ni huu.Kipi hakieleweki hapo toka kima cha chini mpaka cha juu kila mmoja na nyongeza yake.View attachment 2225046
Zaidi ya ramli chonganishi !!!Ni hivi, rais ameongeza mshahara 23% ya mshahara wa kima cha chini kwa wafanyakaz wote .
Hakuna mahali wamesema rais ameongezea wenye kima cha chini tu. Hii ina maana gani,
Hii ina maana kuwa mshahara utaongezeka kwa 23% ya kima cha chini kwa wote, mfano kima cha chini let say ni laki 3, hivyo 23% yake ni elf 69,
Hivyo hata kama mshahara wako ni mil 1, unatoa kima cha chini ambacho ni laki 3, unatafuta 23% yake ambayo ni elf 69, Alaf unajumlisha na hiyo mil 1, kwaiyo mshahara wako utakuwa mil 1 na elf 69.
Hivo ndo maana yake, haya sasa anzieni hapo kujua mishahara yenu itakuwaje
Nyongeza ya aina hiyo !!! Hadithi za Sindbad baharia !!!!Ndio hivyo sasa usichokubali ni nini?? Walimu bhana, mmezoea dhiki, shida, mateso, manyanyaso na chuki, hivyo kama mshazoea umasikini hivi.
MSHAHARA UNAONGEZWA KWA KILA MTU NA KWA KILA KADA KWA 23.3%. UTOFAUTI UTAONEKANA KWENYE KODI KWANI KODI HUTOZWA KAMA IFUATAVYO HAPA CHINI.
1. 332,000 Kushuka chini HAKUNA KODI.
2. 332,000 - 760,000
TAX = 20,000 + 20% Ziada ya 332,000.
3. 760,000 - 1,000,000
Tax = 68,000 + 25% ziada ya 760,000
4. 1,000,000 na Kuendelea
Tax = 128,000 + 30% ziada ya 1,000,000.
Wewe angalia utakuwa wapi katika nyongeza hiyo kisha unajua sasa kodi kiwango gani utalipa.
Wenye mishahara Yao wataiona kwenye salary slip zao. Wengine wataipanga huku jf. .Mnazidi wachanganya tu watumishi hivi serikalini msemaji wa serikali si aje atoe ufafanuzi au wale wandishi wetu wa you tube vipi hii siyo habari mbona issue za kija Jeff na kanze mnapanda mpaka magari vipi mnashimdwa mpigia sm waziri mwenye dhamana akafafanua hili suala maanaa watumishi kama hawaelewi vile
23.3% = 23.3/100 = 0.233....Wameongeza 23.3 wewe mfano unaleta wa 28 kama mfano kwa nn wakati actual figure ipo
USSR
Kweli Watumishi mlikuwa na NJAA sana ya mshaharaNimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
Hesabu inakusumbua,,hebu angalia hyo hesabu yako.Chukua mshahara wako GROSS SALARY X 1.233 = MSHAHARA MPYA
HAKUNA HAJA YA MBWEMBWE NYINGI... ILA HII KWA KIMA CHA CHINI
😁 hapa wewe ndo umepuyanga. Yako ni nyongeza siyo gross salary.Hesabu inakusumbua,,hebu angalia hyo hesabu yako.
Gross salary ×0.233[emoji736]
Gross salary ×1.233[emoji777]
😀940000 ni kima cha chini cha wapi?
%23.3 imeongezwa kwa kima cha chini, kadri mshahara unapoongezeka kutoka kima cha chini basi hiyo % inaenda ikipungua, yaani kulingana na ukubwa wa mshahara kuna ambaye ongezeko litakuwa <%5 nenda na ile principal ya " increasing with decreasing rate "Nimeona wengi wanauliza nikaona nianzishe uzi labda kusaidia, ni hivi chukua asilimia ya kilichoongezwa mf. 28% gawanya kwa 100 yaani 28:100 halafu zidisha na Mshahara wako, yaani 0.28*(mshahar wako kabla ya kodi)= halafu jibu lake jumlisha tena na Mshahara wako, jibu lake ndiyo kiwango ulichoongezwa.
Huo mshahara kabla ya Kodi ndio ukokotoe!
😂😂😂Mkuu
ACHA uongo
Yaani iwe hivi!!?
23/100=0.233
0.233×940000/= =219020/= ?
HALAFU
940000+219020= 1,159,020/= ?
KWA wale wenye TGTS E?
Haiwezekani we Jamaa!!??