Jinsi ya kulala usingizi mtamu kila siku

Hiyo namba 17 na sisi tulio owa inatuhusu...?
 
22.Hakikisha Huna Deni
23.Hakikisha Umetuma Pesa Kwa bi Mkubwa Kijijini Kwani Kama Anahaingaika roho Haitalala kwa amani Utaona Ndoto za Jinamizi
 
Kuna mitaa kulala Hadi bodaboda wamalize pilika zao ...kutwa mnasikia pikipiki zao
 
Umemwita Prince Andrew mume wake Malkia Elisabeth. Ushukuru M I 6 hawapo karibu.
 
11. Zima simu au alarm zote kwenye simu
🔨🔨🔨

Hapana, hii ya kuzima simu no way, bora useme weka sauti ndogo...kuna siku nilikuwa navamiwa huko nje jirani yangu akaniokoa kwa kunipigia simu kwamba kuna wezi wanataka kuruka ukuta waingie ndani...kuna siku nikapigiwa simu kijana wangu aliyekuwa safarini kapata ajali usiku....kuzima simu?? Nooooooo!!!!
 
17,tutakaa.Nimestuka 9 usiku usingizi umekata,pembeni ipo tandam ya kwenda,lazima niombe gemu lasivyo wote tuwe macho Hadi monie.Kifupi ni kwamba usingizi Mimi huja baada ya kupiga bao refu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…