Anhaa,
Unafanyaje hiyo?
Yaweza kulipa $ abroad kama nina TZS kwa salio?
Inategemea na card limit yako. TT cost ni kubwa lakini ni njia ya uhakika zaidi na kutapeliwa ni mara chache sana kwa sababu ya compliance inayofanyika.Ndugu zangu Kwema?
Nimekua nikiagiza vitu nje lakini nimekua nikitumia njia ya Telegraphic Transfer kufanya malipo. Benki yangu imekua ikinikata takribani US$ 50 kama transfer fees.
Sasa kuna mzigo nataka niagizie safari hii lakini nataka nilipie kwa njia ya VISA. Niko mbali na Benki yangu ilipo hivyo siwezi kwenda kuuliza, wala Customer Care number yao sijaishika kichwani.
Msaada wenu ni namna ya kulipa nje kwa kutumia VISA Online, he kila kadi yenye VISA yaweza kufanya haya malipo?
Msaada please...!!!!
Nenda kwenye menu ya mpesa chagua master card.. Maelezo mengine yapo huko ni rahisi tu na unaweza kulipia chochote popote kama viza card za kawaida tu.. Mi nimeashatumi sana tu kulipia vitu onlineAnhaa,
Unafanyaje hiyo?
Yaweza kulipa $ abroad kama nina TZS kwa salio?
Visa [emoji769] na MasterCard [emoji769] ni mifumo tofauti boss kusema Visa ya MasterCard is a "Misnomer"., japo yote imelenga kufanya online Transactions na inafanya kazi zilezile and it is very rare to find a location that will accept one but not the other. Nni ushauri bomba kabisa umempa ajaribu M-pesa MasterCard, kama huko anako fanya malipo hawako specific kwa Visa tu( more likely) bas hata MasterCard [emoji769] itakubali.Tumia visa ya mpesa mastercard.. Ni nyepesi na inafanya kazi vizuri tu..
Visa [emoji769] na MasterCard [emoji769] ni mifumo tofauti boss kusema Visa ya MasterCard is a "Misnomer"., japo yote imelenga kufanya online Transactions na inafanya kazi zilezile and it is very rare to find a location that will accept one but not the other. Nni ushauri bomba kabisa umempa ajaribu M-pesa MasterCard, kama huko anako fanya malipo hawako specific kwa Visa tu( more likely) bas hata MasterCard [emoji769] itakubali.
Mkuu mida ya kutoa huduma hii, sisi bachelor ndio tupo kodoMtoa mada amepotelea mitini.
Bank gani hiyo labda tunaweza kukusaidia namba zao
Inategemea na card limit yako. TT cost ni kubwa lakini ni njia ya uhakika zaidi na kutapeliwa ni mara chache sana kwa sababu ya compliance inayofanyika.
Ni bank gani unatumia???
Natumia COMMERCIAL BANK OF AFRICA (CBA)Taja kwanza jina la bank.. upate msaada
Nenda kwenye menu ya mpesa chagua master card.. Maelezo mengine yapo huko ni rahisi tu na unaweza kulipia chochote popote kama viza card za kawaida tu.. Mi nimeashatumi sana tu kulipia vitu online
Nauliza,Ndio, tena fastaaaa
Nauliza,
Hii huduma iko ndani ya menu ya Mpesa?
Au ni lazima pia niwe na hiyo Card separate?
Nauliza,
Hii huduma iko ndani ya menu ya Mpesa?
Au ni lazima pia niwe na hiyo Card separate?
Ohhh then I have no idea about them. Naona wadau wengi wamekushauri utumie m pesa master card. Go ahead thenNatumia COMMERCIAL BANK OF AFRICA (CBA)