Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
You just reminded me of my best friend. Yani yeye ugonjwa wake mkubwa ni wakaka wanaovaa "cadets". Asimeet na mtu kavaa cadet atanipa taarifa ASAPShati jeupe linavaa kila rangi. Hapo tupia suruwale ya kadet au nyingne nzri ya brown au kaki na kiatu cheusi mkanda mweusi usisahau anjifuu nyeupe kama za viatu ziendane na suruwali au ziwe nyeusi kabisa. Ukigonga suruwale nyeusi viatu tia hivi kama valveti nyeusi mkanda brown si mbaya hakikisha nguo,viatu vinakukaa sawa sio vimooodo sana au mabwangaaa kama ya wanigeria
Umeamua unianike Daddy yako hadharani ehee?..Majungu nani kakufundisha we mttOn a serious note, mtu anayevaa oversize huwa hata hanibariki. Ka mtu kana mwili mdogo kanaenda kushona suruali metre 6, shati halijulikani kama ni la mikono mirefu au mifupi afu kubwa hadi kwapa linaning'inia
Kuna wale pia wanavalia suruali tumboni, huku juu suruali nyembamba basi unakuta huku nyuma kidume kijungu kinatuna ndiiii, loooh
Na kuna zile people zinavaaga moka nyeupe aiseeeeeeee
Hahaha sio majungu daddy nimeongea tu mtazamo wangu. afu mbona wewe ulinipa ukweli kuhusu wigi langu?Umeamua unianike Daddy yako hadharani ehee?..Majungu nani kakufundisha we mtt
Ndo umeamua kurevenge sasa..Basi kesho napiga ile moka nyeupe,suruali nyekundu na shati la kijani ili uje kuongea vizuriHahaha sio majungu daddy nimeongea tu mtazamo wangu. afu mbona wewe ulinipa ukweli kuhusu wigi langu?
Sijarevenge bana, me nimeongelea tu dress codes ambazo sitaki mkweo hata azijaribu teh. ukikutana na mimi na hizo match match zako please nikaushie tu, maana ntaact kama sikujui tegNdo umeamua kurevenge sasa..Basi kesho napiga ile moka nyeupe,suruali nyekundu na shati la kijani ili uje kuongea vizuri
Uwe unanirekebisha basi kabla sijatoka...Sema basi na unazozipenda na mi nianze kunyukaSijarevenge bana, me nimeongelea tu dress codes ambazo sitaki mkweo hata azijaribu teh. ukikutana na mimi na hizo match match zako please nikaushie tu, maana ntaact kama sikujui teg
Hahaha daddy wewe toka tu as unavyotokaga daily "simple". you will never go wrong with a simple look, don't try too hard + wear your confidence kabla ya chochote . BTW daddy unavaa viatu size gani, ujue sina pa kugongea sneakers siku hizi tehUwe unanirekebisha basi kabla sijatoka...Sema basi na unazozipenda na mi nianze kunyuka
Me mtaniua jamani na tumwili twa hivi teh teh.
Hivi rangi tanashati za nguo kwa mwanaume ni zipi.......?.....kwa sababu kwangu mimi ukinivalia shati jekundu nakuona kama Poacher.....ila ukitupia tshirt nyekundu na jeans flan amaizing.......nakuona kama Taye Diggs........
Me mtaniua jamani na tumwili twa hivi teh teh.
Me mtaniua jamani na tumwili twa hivi teh teh.
Teh mbona sisi flat screens mnatugaya. Bana hizi huwa ni fantasy tu, usishangae kesho na kesho kutwa nawaletea shem wenu ana mwili kama le mutuz, afu namflaunt balaa tehduuh sisi mabonge nyanya unatugaya eeehh..ila we have good look sometimes
View attachment 324986 View attachment 324986 View attachment 324987
haaahaahh..hopeful i wish to see you with my shemeji like shaquille o'nealTeh mbona sisi flat screens mnatugaya. Bana hizi huwa ni fantasy tu, usishangae kesho na kesho kutwa nawaletea shem wenu ana mwili kama le mutuz, afu namflaunt balaa teh
Maombi yako yameshindwa lolhaaahaahh..hopeful i wish to see you with my shemeji like shaquille o'neal
Mwanaume mara nyingi kaa mbali na pink(feminine) and purple(gay anonymous?).
Kama unachomekea, kiatu ki-match mkanda. Always.
Must have a mean or cool shoe game. Don't have one, purchase one.
Attitude to go with your gear.
Tough guys wear pink..remember!