Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Heee!!
Wanawake wenyewe hawa wa leo ndugu yangu?! Hawa wanowaza haki sawa, usawa, "kujitambua" n.k... dhidi ya wanaume kila wakati?
Waondoe kwanza mizigo waliyonayo, akilini, mioyoni na mwilini.
Akili zao ziwaze kuwa wao ni wanawake.
Mioyo yao ikubali kumpenda waliyeamua kuolewa nae.
Miili yao waiweke tayari kwa ajili waume waliowaoa.
Wake wakitimiza haya, watafurahia tendo vizuri tu hata kama wameolewa na muokota makopo ama mzoa taka ambaye kauvundo hakaishi mwilini mwake.
Jukumu la kujiandaa kiakili, kiafya na kihisia kwa ajili ya kufanya mapenzi ni la kwao wenyewe.
Wanawake wenyewe hawa wa leo ndugu yangu?! Hawa wanowaza haki sawa, usawa, "kujitambua" n.k... dhidi ya wanaume kila wakati?
Waondoe kwanza mizigo waliyonayo, akilini, mioyoni na mwilini.
Akili zao ziwaze kuwa wao ni wanawake.
Mioyo yao ikubali kumpenda waliyeamua kuolewa nae.
Miili yao waiweke tayari kwa ajili waume waliowaoa.
Wake wakitimiza haya, watafurahia tendo vizuri tu hata kama wameolewa na muokota makopo ama mzoa taka ambaye kauvundo hakaishi mwilini mwake.
Jukumu la kujiandaa kiakili, kiafya na kihisia kwa ajili ya kufanya mapenzi ni la kwao wenyewe.