Jinsi ya kumfanya mkeo afike mshindo wakati tendo la ndoa

Jinsi ya kumfanya mkeo afike mshindo wakati tendo la ndoa

kuna vitu hajajua amekaa kishamba sana...😂
Vitu unavyovijua viandike sasa tuvisome, mbona wewe ndio unaonekana Mshamba sasa ???
Mpinge au mkosoe mtu kwa kuleta hoja zako sio unabeza na kuandika mipasho tu
 
Hawa hawa wenye stress za ajira, vikoba, njaa kali? Nadhani muhimu ni mimi kushusha waajemi then tusonge mbele na maisha.

Ila ukipata lenye utulivu wa nafsi na mwili, lenye ushirkiano kuanzia brain hadi body, hakika tutapandishana kibo without shida...tatizo ni hivi vibamia, wanataka 7" na sisi tuna 4".
 
Hawa hawa wenye stress za ajira, vikoba, njaa kali? Nadhani muhimu ni mimi kushusha waajemi then tusonge mbele na maisha.

Ila ukipata lenye utulivu wa nafsi na mwili, lenye ushirkiano kuanzia brain hadi body, hakika tutapandishana kibo without shida...tatizo ni hivi vibamia, wanataka 7" na sisi tuna 4".

😀
 
Hawa hawa wenye stress za ajira, vikoba, njaa kali? Nadhani muhimu ni mimi kushusha waajemi then tusonge mbele na maisha.

Ila ukipata lenye utulivu wa nafsi na mwili, lenye ushirkiano kuanzia brain hadi body, hakika tutapandishana kibo without shida...tatizo ni hivi vibamia, wanataka 7" na sisi tuna 4".
Dah 😅
Stress zipo tu, sema Sisi Wabongo ujuaji tumezidi mtu anapinga tu bila kuainisha mawazo mbadala huyo Mimi huwa namuona ni mjinga tu. Kilichoandikwa na Mtibeli kipo Sahihi lakini badala ya watu kujazia ujazo wana criticize tu.
 
Dah 😅
Stress zipo tu, sema Sisi Wabongo ujuaji tumezidi mtu anapinga tu bila kuainisha mawazo mbadala huyo Mimi huwa namuona ni mjinga tu. Kilichoandikwa na Mtibeli kipo Sahihi lakini badala ya watu kujazia ujazo wana criticize tu.
Ngoja watu waje na criticism ili tupate kilicho bora zaidi mkuu. Kila mtu akikubaliana we won't get the best. Naamini katika kumfurahisha partner wangu lakini nae awe tayari mentally ili wote tufurahi.
 
Lengo namba moja la tendo la ndoa ni UZAZI(Reproduction).Haya ya kufikia mshindo sijui kitu gani mnazidisha chumvi nyingi.

TENDO LIKIFANYIKA MWANAMKE AKIWA HEAT(wakati huu huwa wanataka mchezo) LAZIMA AENJOY NA UJAUZITO JUU! 😃😃
 
Wafundishe jinsi ya kutupatia pesa kwa wakati, hiyo kufikishana Kibo sijui mawenzi watuachie wenyewe!!
 
Back
Top Bottom