Kambi ya fisi jirani kabisa na ile stoo ya mkaa njia ya kuelekea kuvuka mto Ngarenaro kisha unatokezea Matejoo huko ndipo home kwangu mkuu 😁
Bado haijaishaImeisha hiyooo
all the aboveUlikimbilia pluto baada ya kujiepusha nao au umeenda huko kufanya utafiti?
Yelo acha kuharibu uzi, nitaanzisha uzi wa kuhusu hao jamaa kisha nitakutag, ila kwa sasa tubaki na mada yetu iliyopo mezani kwa huu uzi.Lazima tunafahamiana, unamjua Alex yule mtukutu sijui alifungwa? Au Richard Macho giza, Festo, au Kwa Mpare muuza maziwa? Au mpare muuza mkaa?
Yelo acha kuharibu uzi, nitaanzisha uzi wa kuhusu hao jamaa kisha nitakutag, ila kwa sasa tubaki na mada yetu iliyopo mezani kwa huu uzi.
Kuna watoto ngoja walaleHizo nguvu si ndio huko shambani mnako tembea nako (kipochi manyoya) tunako vunia watoto ...
Acha bangi we chalii, hujui kuwa nipo hapa kuwaamsha walio lala.Kwa hii mada badili hilo jina, unatuzalilisha vijana wa kambi ya fisi
Haya nakupa nafasi upendekeza jina langu jipya 😀Kwa hii mada badili hilo jina, unatuzalilisha vijana wa kambi ya fisi
Haya nakupa nafasi upendekeza jina langu jipya 😀
We miye sio mwanaume wa Dar siwezi tumia jina kama hilo, lbd uniite chalii wa matejoo maana hao machalii wakipata tu Jani huwa wanakaba kabali hadi wajeda😁Sinzayetu
Wanaume wote ndivyo walivyo umbwa... Labda kama wewe bado ni mvulana...elewa kwanzaUsijumuhishe wanaume wote plz [emoji16]
Ningekuwa mvulana nisingeanzisha uzi wa kuwaamsha wanaume waliolala na kushindwa kuimarisha mahusiano yao na wenzi wao.Wanaume wote ndivyo walivyo umbwa... Labda kama wewe bado ni mvulana...elewa kwanza
We miye sio mwanaume wa Dar siwezi tumia jina kama hilo, lbd uniite chalii wa matejoo maana hao machalii wakipata tu Jani huwa wanakaba kabali hadi wajeda😁
Na kwako piaSikukuu njema
Maisha...Dunia....Kuwa na exposure ya nini?
Wewe mtendee tu hata kama hana exposure.Maisha...Dunia....
mwanamke anamheshimu mtu kwa vigezo vikuu vitatu mwenye uwezo wa uchumi, mwenye power katika jamii na mwisho mwenye upeo na maarifa ya kumlinda emotionally and physically yaani kumridhisha kimwili na kumpatia uzazi.Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
Mkuu umeshaungua nn!?Ah acha bwana wawe na wanaume wengi sii ndio tusambaziane ukimwi vizuri au mnataka tufe wachache tuu jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana bwana mie nimewaka🤣🤣🤣🤣Mkuu umeshaungua nn!?