Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Hakika mkuu. Mtu unamuheshimuu, then booom unajua ni ccm🙆🙆🙆🙆 heshima yooote inayeyuka.
Hao ccm wasiojiheshi wasahau kuheshimiwa, hata kama watajiita waheshimiwa hawata mheshimiwa
 
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.

Hela, nyingine chachandu
 
Walisha tuambia tutafute hela sasa.. shauri yetu....sikio lakufa halisikii dawa
Unaweza kuwa na hela nyingi tu ila usipojiheshimu utapata matokeo yake, wapo waheshimiwa wengi tu wenye pesa ila dharau zao huwafanya wakose furaha ktk ndoa zao.
 
Tena mtafute kwa nguvu
Ila mkumbuke hela na nguvu za kiume ni maadui dada zetu.. ukipata hela unakosa nguvu za kiume ..ukiwa na nguvu za kiume hela hauna.. yani basi tuu...lakini tuishi tuu hivyo hivyo
 
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.

Kwa hizi kanuni? He he he, labda ukaoe hulo Tandahimba vijijini, kwa mjini, utapigwa matukio mpaka ushangae
 
Unaweza kuwa na hela nyingi tu ila usipojiheshimu utapata matokeo yake, wapo waheshimiwa wengi tu wenye pesa ila dharau zao huwafanya wakose furaha ktk ndoa zao.
Ukiona mtu anazo hela na haeshimiki na mkewe.. mchunguze vizuri utakuta hana nguvu za kiume....amini na waambieni
 
huko siji...hayo mambo yenu ya 50/50 komaen nayo tu,wafulien had teitei hao muwapendao mkidhan ni kuboresha mapenz,hakika yote hayo ni kujilisha upepo...hawana shukrani hao viumbe
Ulikimbilia pluto baada ya kujiepusha nao au umeenda huko kufanya utafiti?
 
Kwa hiyo umekubali kuwa hela sio solution ?

Hela ni nguzo, ni sawa kusema ili uunge nyama waitaji: nyanya, vitunguu, source, tangawizi, vitunguu swaumu etc, hayo ndo umeyasema wewe, ila bila Nyama utaunga nini? Hela ndo nyama au msingi wenyewe wa heshima, halafu ndo hizo zingine.
 
Kwa hiyo umekubali kuwa hela sio solution ?
Wamejiwekea hela kama solution na security kwao huku wanajua kabisa nguvu za kiume zipo.. wamesahau ukiwa na hela nguvu zinakimbia za mnyanduano.. na ukiwa na nguvu za kiume hela zina kimbia... Yani ni maadui hela na nguvu za kiume hazikai pamoja... Na hivyo ndivyo wanaume tulivyo umbwa
 
Yani wewe ni kijana wa kambi ya office ngarenaro au kwingine? Maana haya maandiko yako ni tofauti kabisa na watu wa matejoo huku kwa wapika gongo
Kambi ya fisi jirani kabisa na ile stoo ya mkaa njia ya kuelekea kuvuka mto Ngarenaro kisha unatokezea Matejoo huko ndipo home kwangu mkuu 😁
 
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.

Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.

Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.

Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]

Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.

Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.

Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.

Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.

Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani

Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.

Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.

Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.

Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].

Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.

Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .

Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.

Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!

Ubarikiwe.
Mkuu sema usemavyo ila mwisho kabsa mchawi pesa.
Imeisha hiyooo
 
Back
Top Bottom