Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Jinsi ya kumfanya Mwanamke akuheshimu pasipo kumshurutisha

Mwanaume uwe na hela.sio kila siku sina hela.hata kama utakuwa mzuri kiasi gani amini usiamini kuna heshima hutopata.

Na hata hii si kwa wanaume ndugu yangu.hata Kwa wanawake pia.kama huna kitu mkononi hata mwanaume hakupi heshima anakuona huyu nae atanipiga mizinga tu.umasikini unaumiza,unatenga,hauwezi kusikilizwa,umasikini unatesa vibaya.

Pesa sio kila kitu lakini inaongeza heshima mahali fulani,inakukutanisha na watu fulani na mengineyo.
Kuwa na kitu cha kujiweza wewe mwenyewe kwanza.

Umesikini ulinitesa sana,ulininyong’onyeza,ulinitenga na watu na wengine ni ndugu wa karibu nami,umasikini ni mbaya.
Ila Mungu Kwa kuwa hatokei mkoa wowote hubariki
Poleee, usiwawekee vinyongo mkuu.
 
Napingana na wewe pesa sio kila kitu
Juzi juzi tu hapa tumetoka kushuhudia ndoa za matajili wa wakubwa zimevunjika na wanapesa za kutosha mfano Bill gate na wengine wengi.ukichunguza watu wenye pesa hawana muda na wapenzi wao they so busy kutafuta pesa na siku zote ukae ukijua mapenzi yana nafasi yake katika maisha ndio maana watu wenye pesa hawadumu katika ndoa.
Fact, iko hivi heshima ya Mwanamke utaipata ikiwa utafanya yafuatayo;
1. Muheshimu
2. Pesa uwe nazo lakini zitumie vizuri namaanisha kwa malengo na sio ufujaji mfano huna kiwanja unahonga gari, huna kitanda unahonga laki Moja atakuona huna akili
3. Mnunulie zawadi lakini sio za gharama kubwa ila zenye upendo
3. Jiheshimu, hapa maana yake uwe na mipaka na simamia miapaka yako mfano. Akionesha dharau mwambie ukirudia nasepa ,na akirudia sepa usiangalie nyuma
4.Uwe na future inayoeleweka mfano ,fanya kazi ,pambana sana hata kama huna mshahara mkubwa we pambania future....jaman kwanini asikuheshimu huyo.....❤️❤️
 
Yote haya inategemea umepata mwanamke wa aina gani. Kama ni mwelewa na mwenye exposure ukimtendea haya aisee mtakuwa washikaji sana na wenye ndoa yenye furaha. Vinginevyo utaishia kuitwa boya tu maana wenzetu hawa hawajawahi kueleweka hasa wanataka nini [emoji16]
Case closed.
 
Back
Top Bottom