Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #161
Hao ccm wasiojiheshi wasahau kuheshimiwa, hata kama watajiita waheshimiwa hawata mheshimiwaHakika mkuu. Mtu unamuheshimuu, then booom unajua ni ccmππππ heshima yooote inayeyuka.
Tena mtafute kwa nguvuWalisha tuambia tutafute hela sasa.. shauri yetu....sikio lakufa halisikii dawa
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
Unaweza kuwa na hela nyingi tu ila usipojiheshimu utapata matokeo yake, wapo waheshimiwa wengi tu wenye pesa ila dharau zao huwafanya wakose furaha ktk ndoa zao.Walisha tuambia tutafute hela sasa.. shauri yetu....sikio lakufa halisikii dawa
Ila mkumbuke hela na nguvu za kiume ni maadui dada zetu.. ukipata hela unakosa nguvu za kiume ..ukiwa na nguvu za kiume hela hauna.. yani basi tuu...lakini tuishi tuu hivyo hivyoTena mtafute kwa nguvu
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
zo nguvu pelaka shambanIla mkumbuke hela na nguvu za kiume ni maadui dada zetu.. ukipata hela unakosa nguvu za kiume ..ukiwa na nguvu za kiume hela hauna.. yani basi tuu...lakini tuishi tuu hivyo hivyo
Ukiona mtu anazo hela na haeshimiki na mkewe.. mchunguze vizuri utakuta hana nguvu za kiume....amini na waambieniUnaweza kuwa na hela nyingi tu ila usipojiheshimu utapata matokeo yake, wapo waheshimiwa wengi tu wenye pesa ila dharau zao huwafanya wakose furaha ktk ndoa zao.
Mbona hujiamini mkuu, nini tatizo?Kwa hizi kanuni? He he he, labda ukaoe hulo Tandahimba vijijini, kwa mjini, utapigwa matukio mpaka ushangae
Mbona hujiamini mkuu, nini tatizo?
Hizo nguvu si ndio huko shambani mnako tembea nako (kipochi manyoya) tunako vunia watoto ...I
zo nguvu pelaka shamban
huko siji...hayo mambo yenu ya 50/50 komaen nayo tu,wafulien had teitei hao muwapendao mkidhan ni kuboresha mapenz,hakika yote hayo ni kujilisha upepo...hawana shukrani hao viumbeHebu ukuje huku duniani ujifunze kitu
Kwa hiyo umekubali kuwa hela sio solution ?Ukiona mtu anazo hela na haeshimiki na mkewe.. mchunguze vizuri utakuta hana nguvu za kiume....amini na waambieni
Ulikimbilia pluto baada ya kujiepusha nao au umeenda huko kufanya utafiti?huko siji...hayo mambo yenu ya 50/50 komaen nayo tu,wafulien had teitei hao muwapendao mkidhan ni kuboresha mapenz,hakika yote hayo ni kujilisha upepo...hawana shukrani hao viumbe
Kwa hiyo umekubali kuwa hela sio solution ?
Wamejiwekea hela kama solution na security kwao huku wanajua kabisa nguvu za kiume zipo.. wamesahau ukiwa na hela nguvu zinakimbia za mnyanduano.. na ukiwa na nguvu za kiume hela zina kimbia... Yani ni maadui hela na nguvu za kiume hazikai pamoja... Na hivyo ndivyo wanaume tulivyo umbwaKwa hiyo umekubali kuwa hela sio solution ?
Kambi ya fisi jirani kabisa na ile stoo ya mkaa njia ya kuelekea kuvuka mto Ngarenaro kisha unatokezea Matejoo huko ndipo home kwangu mkuu πYani wewe ni kijana wa kambi ya office ngarenaro au kwingine? Maana haya maandiko yako ni tofauti kabisa na watu wa matejoo huku kwa wapika gongo
Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
Imeisha hiyoooMkuu sema usemavyo ila mwisho kabsa mchawi pesa.
Usijumuhishe wanaume wote plz πNa hivyo ndivyo wanaume tulivyo umbwa