NimeweA nitasumbua mno hata uzi wangu nitajitag hahahahah
Kama hivi? NAHUJA?Andika @ hii halafu andika jina la huyo member bila kuacha nafasi.
Shombe la Kisomali
hahahahah wallahi nimekufolo. hahahahahahNaomba uni follow...
demi mbona kwangu imekubali? au uliandika @ halafu ukaacha nafasi ndio ukaandika demi? usiacha nafasi baada ya kuandika @ unganisha mumo kwa mumo@demi mbona mimi inagoma mkuu?
Imekubali bwana!!! mbona umenitagi vizuri kabisa hadi moyoni! hahahahahRafiki sijaacha nafasi,ona hata hapa NAHUJA sijaacha nafasi ila hata haikubali!......Noooooo imekubali!![emoji1][emoji1][emoji1]
Hongera sana. hahahahahahahdemi ......[emoji23][emoji23][emoji23]nimeweza!
@NAHUJA vipi hapo?Haijakubali.
Rudia tena andika alama @ halafu andika jina. hakikisha usiacha nafasi baada ya kuandika alama @ hiyo.
Poa lakini hujapatia, hebu rudia tena kunitagi mbona imegoma kwako@NAHUJA vipi hapo?
@NAHUJA hapo?Poa lakini hujapatia, hebu rudia tena kunitagi mbona imegoma kwako
Itakuwa umekosea labda haitwi atoto au labda alishabadili ID. Hebu jaribu kunitagi mimi@atoto
siyo kweli mbona imekataa
Bado inagoma sijui kwanini. Hebu nijaribu mie kukutagi wewe IROKOS umeona kwako inakubali@NAHUJA hapo?