Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Naomba mnisaidie pia jinsi ya kuedit au kubadili avatar natamani sana niweke picha kwenye avatar yangu na kumfata mtu private kupitia private message naomba msaada pia ndugu zangu
ngoja nikusaidie..bonyeza hapo panapotakiwa kuweka picha..wataabdika edit avatar... ndo itakpeleka kama ni kwenye galleryyako ya simu au upige direkt....
kuedit kama umekosea kuandika ukishamaliza hapochini kbs kuna neno limeandikwa edit,delete...bonyeza edit...then edit then save!
kwenda pm bonyeza jina la mtu unayetaka kwenda pm kwake...zen start conversation..kila la heri