Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew yupi kati ya hao wa watatu? Nimependa jinsi mlivo nataka nikufahamu nije kutoa mahari kabisa maana naona mmeumbika watoto wasuriAbeeeee, Labeka, niko hapa
@shombe la kisomaliNimeweza AiseeH.. Raha sana maana nikionaga tu watu wanatagiana humu
Mbona kwangu inagoma @hajutaAsante sana mkuu, nimeweza