Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Zifutazo ni tabia za vijana wanaoendesha gari za shemeji zao:-
I. Lazima washushe vioo mpaka chini kabisa kisha wanaweka kishoka.
II. Lazima waweke sauti kubwa sana ya radio yaani makelele barabara zote anazopita
III. Ana kimbiza gari ovyo ovyo hata kwenye makorongo hajali anajua shemeji atayengeneza tu
IV. Akiwa njiani kama kaona rafiki hawajamuona lazima awaite kujidai anawasalimia.
V. Ukimpigia simu anakukatia anakutumia sms " I'm driving, i will call you later"
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
I. Lazima washushe vioo mpaka chini kabisa kisha wanaweka kishoka.
II. Lazima waweke sauti kubwa sana ya radio yaani makelele barabara zote anazopita
III. Ana kimbiza gari ovyo ovyo hata kwenye makorongo hajali anajua shemeji atayengeneza tu
IV. Akiwa njiani kama kaona rafiki hawajamuona lazima awaite kujidai anawasalimia.
V. Ukimpigia simu anakukatia anakutumia sms " I'm driving, i will call you later"
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)