Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha, ha, ha. Nimechekaje!Umenikumbusha mbali sana kipindi nipo darasa la tano sista la saba kuna kijamaa form one nilikihisi kinamlamba sista akija home na backel me naichukua naenda kuvitembelea videm vyangu nikifika Shemeji zangu nao wanachukua baskel sijui nao wanaenda wap.
Aisee kama unatokea kilimanjaro mimi dio nlikuwa nakuja na baiskel kwenu. Aaaa shemejiiUmenikumbusha mbali sana kipindi nipo darasa la tano sista la saba kuna kijamaa form one nilikihisi kinamlamba sista akija home na backel me naichukua naenda kuvitembelea videm vyangu nikifika Shemeji zangu nao wanachukua baskel sijui nao wanaenda wap.
vi)Saa zote wana haraka mihoni kibao hasa kwenye taa za kuongoza magari zinapowaka kijani tuu
Umenikumbusha mbali sana kipindi nipo darasa la tano sista la saba kuna kijamaa form one nilikihisi kinamlamba sista akija home na backel me naichukua naenda kuvitembelea videm vyangu nikifika Shemeji zangu nao wanachukua baskel sijui nao wanaenda wap.
Mm hata kwa shemeji siwezi fika hata kama ninashida yakunitoa roho yangu cjui kwa sababu u arusha umenizidi lakini ndo wanachuga walivyo hakuna mtoto wa mama
Ha ha ha! I admire your honesty. Haka katabia ni common mno aisee kwa baadhi yetuNlivokuwa nikiendesha gari ya baba zamani kuna baadhi ya tabia nlikua nazo full,kma hyo ya kushusha vioo,kulazimisha masela wakuone na kwenda kwa masela kupiga story alafu ushuki ndani ya gari..!!
mkuu mbona hakuna namba pale?Namba 2 ndo huwa wananikera balaa.
kwani kuna ubaya gani shemeji kuendesha gari langu au mimi kurndesha gari lake??? ninafahamu watu wengi tu mimi.nikiwa mmojawapo ambao sio shida kwangu kuendesha gari la shemeji yangu au mimi kuendesha la kwake. sioni ubaya wowote na kwa sisi waafrika tena wasukuma ni sawa na ni heri kabisa maana pia inasaidia kutambua kuwa una watu waliokuzunguka na wewe ni mmojawapo.
mbona wengi tu wakesomeshwa na mashemeji??? na wengine wamelelewa na shemeji... ubaya uko wapi??? viburi vingine hata sio, na tabia zingine za kukariri sio sawa. kwa mfano mimi nahitaji gari na siku hiyo langu liko mbali au sina, la shemeji lipo, what are you expecting??? mie shemeji yangu yeyote aliyeapa kanisani kwa ndoa takatifu namheshimu na kumthamini kama ninavyomuheshimu na kumthamini ndugu yangu yeyote yule.