Jinsi ya kumtambua mtu anayeendesha gari ya shemeji yake

Jinsi ya kumtambua mtu anayeendesha gari ya shemeji yake

mkuu mbona hakuna namba pale?
Naona roman tu..:becky:
Hiyohiyo roman ya pili mkuu.wamezid.mtu yuko ndani ya gar.badala afungue sauti ya radio kwa ajil yake,anafungua mpk mtaa wa pili.ahsante mkuu
 
Aisee wanakeraa! Kumbe ndo hawaaaa!
Juzi mtu kanishambulia mitusi hamu sina, kisa nimechelewa kidogo kuiona ya kijani!


Acha kabisa...kuna mwingine juzi kati, alikuwa nyuma yangu. Kwenye hicho kipande cha barabara tulikuwa wawili tu na yeye, mie gari ikanizimikia. Khaaa....alinipigia mihoni na mitaa kama vile nilikuwa dhambini. Wakati alikuwa na uezo wa kuovateki na kwenda zake....Alivyonipita huo mkao wake tu kwenye gari utafikiri upinde wa mshale.....
 
We utakuwa huna gari.., mbona mi huwa napenda kuweka mziki mkubwa na gari ni langu.., hapo unasemaje
 
Acha kabisa...kuna mwingine juzi kati, alikuwa nyuma yangu. Kwenye hicho kipande cha barabara tulikuwa wawili tu na yeye, mie gari ikanizimikia. Khaaa....alinipigia mihoni na mitaa kama vile nilikuwa dhambini. Wakati alikuwa na uezo wa kuovateki na kwenda zake....Alivyonipita huo mkao wake tu kwenye gari utafikiri upinde wa mshale.....

ha ha ha eti upinde wa mshale
 
Hahahahahaaaaaaa yaani mkuuu kusoma tu heading nimecheka sanaa...
Ni kweli kabisa ata mimi nimesha kutana na wa hivyo...
Akiwa amempeleka shem wake job akiwa anarudi ananiambia napita apo sasa ivi nina ishu na wew nisubirie apo njian akija hana la maan ni gari tuu kaja kunidolishia...mweeeeeeeee sasa ngoja ukute hana gani anapita mbaliii

ha ha ha
 
Ni dhambi kumdhania mtu anaendesha la shem wake eti sababu kaweka kishoka au sauti ya juu. In life never underestimate a person you dont know.
 
ha ha ha eti upinde wa mshale


Ndugu yangu wee...kuna watu wana mbwembwe na usukani bwana...yaani wanajua kujipinda haswa na usukani ulivyoshikwa sasa...Mpaka unajiuliza hivi likitokea la kutokea dereva huyu ataweza kuhimili kweli?
 
unajua vijana wa siku hizi hawajui maisha.mbona watu wengi wamekulia kwa shemeji na saa hizi wana maisha yao. wamesoma,wamekula na wameendesha magari ya shemeji.kuna ubaya gani? kuna siku niko na rafiki yangu tunatoka bagamoyo kufika maeneo ya tegeta kuna vijana na ki altezza chao wakataka kuchomekea jamaa akabana,

mmoja wao akafungua kioo akamwambia yule rafiki yangu 'ndio matatizo ya kuendesha gari ya shemeji'. gari yenyewe ilikuwa VITS, sasa mimi na jamaa tukacheka coz jamaa nyumbani kaacha VW Touareg na Mark X!!! Kwahio maneno kama haya ndio kawaida sana ya vijana wa siku hizi wakishapata vigari vyao wanaona mwingine gari kaazima sio lake kisa haendeshi wanavyopenda wao!

kweli kabisa mkuu, vijana wajifunze
 
Nlivokuwa nikiendesha gari ya baba zamani kuna baadhi ya tabia nlikua nazo full,kma hyo ya kushusha vioo,kulazimisha masela wakuone na kwenda kwa masela kupiga story alafu ushuki ndani ya gari..!!

Haaa haa haaa yani umenilenga! Mi kama wanachuo wenzangu hawakuniona lazima niwapigie honi na kuwapa lifti!...ushamba bhana!
 
Back
Top Bottom