Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
hii ni kwa hapa Bongo au unamzungumzia all over the world
Umenikumbusha mbali sana kipindi nipo darasa la tano sista la saba kuna kijamaa form one nilikihisi kinamlamba sista akija home na backel me naichukua naenda kuvitembelea videm vyangu nikifika Shemeji zangu nao wanachukua baskel sijui nao wanaenda wap.