Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Wapo tena wengi mpaka mahari anatoaKuna wengine ni pretenders anaweza kukutambulisha had ndugu fake, na mkapanga mikakati na yet akawa tapeli,
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshamuita najua muda si mrefu atafikaMwambie joanah naye akuje haraka sana anisomee huu waraka
Umenionea tu bure
Ungemalizana tu na Demiss ..ye kashasoma
Mie hata sijasoma alichoandika ujue 😅
Acha kunibania bhana... tumetoka mbali ujueHiko mie ndio hata sikioni
Acha kunibania bhana... tumetoka mbali ujue
Ewaaaa... hapo sawa kabisa.Hebu ngoja nijaribu kama nitafanikiwa kuona
Thn anaishia kukuzalisha tuWapo tena wengi mpaka mahari anatoa
Wewe binti nakutamani buree, natamani uwe wangu milele yote!Wanaume wanaokuja kwa gear ya ndoa ni matapeli hivi mtaoanaje hamjajuana vzuri tabia, hafu bora Ku enjoy mahusiano mkiridhia ndo muoane aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata asipozalisha lengo ni kumchezea bintiThn anaishia kukuzalisha tu