Ni kweli sisi n waongo,tena wasanii wa hatari,nawashauri dada zangu kuwa kuolewa hyo n haki yenu,tatizo lenu nyinyi mnawaza sana kutaka kuolewa mpaka mnatupa mbinu za kuwagegeda vzur,ndo maana tunawatangazia ndoa feki,mkipendana ktk mahusiano msiwazie ndoa na wala msitulazmishe tuje kujitambulisha makwenu,tulia na msome mwenzio kwanza,maana huwez kuolewa mpaka jamaa akupitie,hzo mnazotuambia hatufany mpka ndoa bac msubiri muolewe na wachungaji tu,
Hizo ulizotaja juu n uongo wa mwanamme ambae hajui kuongopa,anaejua kuongopa huja had kwenu na kishika uchumba anatoa au had pete atakuvalisha na atalia kama yule mgogo(hilo choz utahisi anakupenda kumbe anakuonea huruma tu),baadae humuoni utakaa na pete mpka itaota kutu,mkiingia kwenye mahusiano msikimbilie kutaka kuolewa,tukiamua tutawaoa doooooooh