Jinsi ya kumtambuilisha mtoto wa nje kwa mkeo

Jinsi ya kumtambuilisha mtoto wa nje kwa mkeo

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
451
Kuna majambo yanayowasibu wanaume wengi katika pitapita zao na kung'angania nyumba ndogo wanajikuta wanapata watoto nje ya ndoa ni njia ipi ya kistaarabu ya kumtambulisha mtoto wako wa nje kwa mkeo unayempenda????????
 
Usisahau kuwa mke mwenyewe ni bounce asije akawachanganya wewe na mwanao
amlete ukiwa haupo tu nyumbani
mkeo umkute kanuna na mtoto anatazama tv
kinachofuata ni maelezo tu
wakati jipu lishapasuliwa
 
Njia ya kistaharabu? Kuna ustaharabu tena hapo wakati ushaharibu? Njia yeyote utakayotumia lazima kinuke tu; whether utapika pilau na sherehe ya kumuingiza mtoto ndani; whether utamleta kimya kimya...kosa liko pale pale.

La kwanza ni usiri...maana unauliza kumleta ndani meaning umeshindwa hata kumfahamisha mkeo uwepo wa huyo mtoto unataka kuja na suprise kubwa kuliko. Lol. Mi naona ni very rude...kuzaa nje umeamua mwenyewe ...na whether mtoto anakuja ku wa join wenzie or not unataka tena kuamua mwenyewe.

Ukipata mke kichaa atapishana na mtoto mlangoni...anaingia yeye anatoka.
 
Afu mara nyingi ukiona mwanaume anaanza kufikiria kuleta mtoto wa nje ndani in most cases huko nyumba ndogo kimeshanuka...maana kama unaendelea ku mantain nyumba ndogo kwa nini unataka kuinyang'anya mtoto. Yeye hana right ya kulea mwanae? Au unamuona kicheche hana sifa za kulea?
 
Kuna majambo yanayowasibu wanaume wengi katika pitapita zao na kung'angania nyumba ndogo wanajikuta wanapata watoto nje ya ndoa ni njia ipi ya kistaarabu ya kumtambulisha mtoto wako wa nje kwa mkeo unayempenda????????
mtume mtoto akampelekee ela ya matumizi alafu amwambie baba kanipa nikulete hapo habari kwisha
 
ni tamaduni tu

kuna nyumba nilienda, nikakuta unga, mchele na mafuta ya kupikia yanafichwa chumbani kwa wazazi, kidogo macho yanidondoke.

Hii ya mtoto wa nje na ndani kuna sehemu wala hawatofautishi, mimba tu inaletwa home.

Na mtoto kuletwa home si kwamba kimenuka, lakini lazima waotot wafahamiane wakiwa wadogo waweze kuishi pamoja.

Kwa hiyo, hakuna fomula, kama kwenu huwa wanaficha hadi siku unakufa/anakufa fuata hayo hayo.
 
Wapi dear ambako kuzaa nje ni sehemu ya maisha.

Kwa faida ya mabinti walio single embu tumegee hiyo siri.

My dad alimkataa kijana fulani alotaka kumuoa mdogo wangu kwa kigezo kuwa hao kazi yao kuzaa nje...wote tulibaki midomo wazi ...kumbe ni sehemu ya culture ya watu fulani.

Mdingi mwenyewe anayesema hivyo alikuwa utulivu zero, lakini kweli kwetu hakuna mtoto wa nje...sijuhi aliwezaje ku control hiyo kitu isitokee.



ni tamaduni tu

kuna nyumba nilienda, nikakuta unga, mchele na mafuta ya kupikia yanafichwa chumbani kwa wazazi, kidogo macho yanidondoke.

Hii ya mtoto wa nje na ndani kuna sehemu wala hawatofautishi, mimba tu inaletwa home.

Na mtoto kuletwa home si kwamba kimenuka, lakini lazima waotot wafahamiane wakiwa wadogo waweze kuishi pamoja.

Kwa hiyo, hakuna fomula, kama kwenu huwa wanaficha hadi siku unakufa/anakufa fuata hayo hayo.
 
anitambulishe ili kiwe nini?nimlee?hapana jamani sina hicho kifua cha kule mtoto wa mwanamke aliyeingilia ndoa yangu!baki huko kwa moyo mweupe!
 
wala si kuzaa nje tu.

Mwanamme anatoka jioni home
anakuaga 'ngoja nikatongoze'

anarudi labda saa nne hana shati
ana kanga kajitupia, anakuambia, nimeacha nguo wakusaidie kufua.

Kama hujaona utadhani story, sembuse mtoto ndio aache kwenda kwa babaye??

Kuna sehemu wake wengi ruksa, na usitegemee mtu anaoa tu bila kuwa hajafanya lolote. Sometimes wanazaa, wanaamua kuhalalisha.

Yote inategemea umekulia wapi
Wapi dear ambako kuzaa nje ni sehemu ya maisha.

Kwa faida ya mabinti walio single embu tumegee hiyo siri.

My dad alimkataa kijana fulani alotaka kumuoa mdogo wangu kwa kigezo kuwa hao kazi yao kuzaa nje...wote tulibaki midomo wazi ...kumbe ni sehemu ya culture ya watu fulani.
 
Kama umediriki kumwita mkeo unayempenda, huyo mtoto wa kando katokea wapi?
 
nyumba kubwa, huwezi jua kama hakuna mtoto wa nje.

Ila inawezekana aliwapiga marfuku kukanyaga hapo kwenu, kuna watu wanafamiana misibani.

Kuna dada mmoja mkubwa, alikutana na mama mmoja mtoto wa baba yao. Yule dada wa nje akajitambulisha. Yule dada akamjibu, tusijuane.

Mie nikamshangaa, unakataa faida? Mtu mzima, anataka tu mfahamiane sababu mnashare baba unamfukuza? Wala hakutegemei??

Mtu akitoka hapo kwa Mwingira, anaomba upendo wa baba, anyway nisiseme sana but wizi mtupu.
 
Last edited by a moderator:
Am sure unaongelea vijijini ambako bado wanaishi miaka 500 BC. Kha! Hapa town mwanamke gani utamuaga unaenda kutongoza???

wala si kuzaa nje tu.

Mwanamme anatoka jioni home
anakuaga 'ngoja nikatongoze'

anarudi labda saa nne hana shati
ana kanga kajitupia, anakuambia, nimeacha nguo wakusaidie kufua.

Kama hujaona utadhani story, sembuse mtoto ndio aache kwenda kwa babaye??

Kuna sehemu wake wengi ruksa, na usitegemee mtu anaoa tu bila kuwa hajafanya lolote. Sometimes wanazaa, wanaamua kuhalalisha.

Yote inategemea umekulia wapi
 
dunia hii full unafiki.

Wanamme wako disadvantaged kuhusu watoto wa nje. Wao wakizaa inajulikana from day one.

Ni wanamme wangapi wanalea mamluki??
Ukifikiria hapo tu, hutaona haja ya kumnyima mwanamme kukaa na mwanae.

Kama umediriki kumwita mkeo unayempenda, huyo mtoto wa kando katokea wapi?
 
sio nyumba ndogo tu,HATA NYUMBA YA KATI,MAANA HAWA JAMAA WANA NYUMBA NYINGI!
Afu mara nyingi ukiona mwanaume anaanza kufikiria kuleta mtoto wa nje ndani in most cases huko nyumba ndogo kimeshanuka...maana kama unaendelea ku mantain nyumba ndogo kwa nini unataka kuinyang'anya mtoto. Yeye hana right ya kulea mwanae? Au unamuona kicheche hana sifa za kulea?
 
Back
Top Bottom