Kwa taarifa yako Sheria ya Ardhi ya Mwaka 1999 haimtambui Mwenyekiti wa Serikali wa Mtaa kama Shahidi la muhimu nenda Wizara ya Ardhi uangalie mmiliki Halali wa hiyo ARDHI, kisha nenda kwa mwanasheria akutengenezee mkataba muende kwenye kiwanja, ujiridhishe mipaka, na akukabidhi NYARAKA ZOTE original (Zenye majina yake matatu mfano PURITY AKILI KAMUI wa S.L.P 21 OLASITI, ARUMERU, ARUSHA, TANZANIA), shahid wako awe mwanasheria, Majina yake 3, atie saini,cheo na muhuri wake. Pia hakikisha uhalali wa DOCUMENTS (TITLE DEED)