Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Kuna watu wengi sana wanatapeliwa katika kununua viwanja.
Binafsi nina mpango wa kwenda kununua kiwanja sehemu fulani.
Kwa wenye uzoefu, ningependa kufahamu ni taratibu zipi za kuzingatia kabla hujanunua kiwanja?
Je? kwenda kwa mwenyekiti wa mtaa pekee inatosha, utajuaje kama kiwanja husika ni kweli cha huyo anayeuza? kwamba sio cha familia n.k
Unaweza ongeza lolote lile ambalo unadhani ni la muhimu ukiwa unataka kununua kiwanja au shamba.
Karibuni kwa mjadala.
Binafsi nina mpango wa kwenda kununua kiwanja sehemu fulani.
Kwa wenye uzoefu, ningependa kufahamu ni taratibu zipi za kuzingatia kabla hujanunua kiwanja?
Je? kwenda kwa mwenyekiti wa mtaa pekee inatosha, utajuaje kama kiwanja husika ni kweli cha huyo anayeuza? kwamba sio cha familia n.k
Unaweza ongeza lolote lile ambalo unadhani ni la muhimu ukiwa unataka kununua kiwanja au shamba.
Karibuni kwa mjadala.