Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Helo wenyewe
Leo ni wkend ni siku ya usafi.kuna sayansi ya asili nilifundishwa na bibi yangu jinsi ya kujinyoa huko bila kuacha madhara kama mjuavo nyembe zimekuja miaka hii Tu
Naomba idhini ya jukwaa hili ili niwafundisheni.uzungu unatesa mapele kibao
Naogopa kuandika bila ruhusa
Halafu matusi sitaki wala pm siitaji MTU yoyote
Naingia kwaya nitatoka SAA moja nikiruhusiwa nitawapa somo.maana wengine maeneo yao yanatisha yamezeeka wakati bado Tu vijana
Say no to gillete
Mpendwa naona usiku wa leo ulikua kitoweo,haiwezekani uende kwenye kwaya toka saa 12 jioni mpaka alfajiri hii hujarudi kuleta mrejesho.
Ok, sasa nakuambia wewe, maana umeshikwa na gubu, una wivu sana wewe............It May It Be Viceversing Giles Unamwambia The Boss For What?
Ahahahaa et gagulo jamani
Huyu lazima kwaya master kaimba nae mpaka asubui maana makwaya masta wanawafaudu sana hawa sauti ya kwanza!
Na yale ma skirts ya marinda kama mwalimu wa upe , huyo alivyo mwafrika inaonyesha hata deodorant anatumia ile ya kiasili ya ndimu.Kwa pigo hizi,utakuwa bado unavaa gagulo tu wewe!
majivu? yakiingia je?
Yakiingia wapi, machoni? Unanawa tu uso, au unavaa miwani kabla hujaanza.
Hapana. Ila sehemu pekee majivu yanapoweza kuingia kwangu, ni kwenye macho au puani. Wewe?ahahah mkuu we pubic hair zako zipo karibu na macho?!!!
Hapana. Ila sehemu pekee majivu yanapoweza kuingia kwangu, ni kwenye macho au puani. Wewe?
Nilisoma ndio, ila darasani mi nilikuwa slow sana. Nipe somo kwa ufupi tu.nyingi asee ulisoma biology?