Jinsi ya kunyoa nywele private hair kwa majivu na mshumaa au kibatari

Jinsi ya kunyoa nywele private hair kwa majivu na mshumaa au kibatari

Status
Not open for further replies.
Mbona hatupeani hiyo elimu?
Basi ungekaa nayo tu au ulikua unataka attention? Uchoyo tu.
Mxiiu
 
Natafuta kweli umetuweza sijui ni nini ulitaka kufanya but any way tunaomba utupe hiyo sayansi
 
natafuta
Unataka maelekezo namna ya kuweka picha kwa sim au kwa laptop? make it clear for relevant help.

BTW labda utuelekeze usikuuu km sa 6 hv halaf alfajiriiii uondoe picha, eti?
 
Weka picha tuone vizuri .ili nawengine tucopy na kupaste .usiogope usionyeshe sura tunataka kuona pubic hair yako iliyodumu kwa miaka 6 km pocble mi ni msusi

Hapa hadi watoto wataona, tupia namba yako pm nikutumie whatsapp.
 
Nadhani NATAFUTA atakuwa ameshampata kwaya master anampa kwanza somo ndio aulete hapa,ila kwa bahati nzuri au mbaya kwaya master kanogewa na kipindi kiasi ameshindwa kumuachia NATAFUTa mbaka leo ndio maana anashindwa kutoa hilo somo,kwahiyo wana jf wenzangu nawashauri muendelee kuwa na subira NATAFUTA amalize kugawa somo kwa maya master then atawaludia nyinyi.
 
Unachukua Mshumaa au Koroboi unakaa kama style ya Kukojoa hivi alafu chini yake unaweka kioo ili uione papuchi vizuri, then ule mshumaa unapitisha pitisha juu juu ili usiungue si unajua tena ikigusa kwenye ngozi, Fanya hivyo mpaka nywele zipukutike zote alafu paka majivu alafu nenda kaoge paka mafuta utaona kitu kinavyo meremeta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom