Jinsi ya kuokoa watu toka kwenye underground ya ghorofa lililoanguka ndani ya masaa mawili

Jinsi ya kuokoa watu toka kwenye underground ya ghorofa lililoanguka ndani ya masaa mawili

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Siku nyingine jengo likianguka na watu kunaswa kwenye underground, njia rahisi ya kuwatoa kwa haraka ni kuchimba shimo pembeni ya jengo (barabarani), kisha lilishafika kina cha usawa wa underground, inachimbwa tunnel itakayowekwa precast culvert za zege kuelekea kwenye jengo, kisha pipe za Oxygen zitapitishiwa hapo kwa muda wakati zoezi la kuwatoa kupitia kwenye tunnel likiendelea.

Hii ni njia rahisi zaidi kwa sababu ukiwatoa kwa juu itabidi ufanye taratibu sana ili jengo lisiendelee kuporomoka na kuleta madhara, na ni njia amabyo inaweza kuchukua hata wiki 2 kabla hujawafikia wale wa chini kabisa. Muda mwingine viongozi watumie akili zao kwenye kutatua matatizo badala ya kusifia tu Mama muda wote..

IMG_2496.jpeg
 
Kariakoo hakuna space kubwa ya kuchimba Hilo shimo unalosema yani kunatofauti ya hatua mpaka Kumi Kati ya ghorofa na ghorofa pengine hakuna kabisa space.

Ongeza ubunifu alafu mpostie SSH mtagi hienda akukuteua kule zimamoto AU nenda pale pale k.koo katoe maoni
 
Kariakoo hakuna space kubwa ya kuchimba Hilo shimo unalosema yani kunatofauti ya hatua mpaka Kumi Kati ya ghorofa na ghorofa pengine hakuna kabisa space.

Ongeza ubunifu alafu mpostie SSH mtagi hienda akukuteua kule zimamoto AU nenda pale pale k.koo katoe maoni
Si nimesema shimo linachimbwa barabarani au? Maana barabara hufungwa wakati wa uokoaji..
 
Siku nyingine jengo likianguka na watu kunaswa kwenye underground, njia rahisi ya kuwatoa kwa haraka ni kuchimba shimo pembeni ya jengo (barabarani), kisha lilishafika kina cha usawa wa underground, inachimbwa tunnel itakayowekwa precast culvert za zege kuelekea kwenye jengo, kisha pipe za Oxygen zitapitishiwa hapo kwa muda wakati zoezi la kuwatoa kupitia kwenye tunnel likiendelea.

Hii ni njia rahisi zaidi kwa sababu ukiwatoa kwa juu itabidi ufanye taratibu sana ili jengo lisiendelee kuporomoka na kuleta madhara, na ni njia amabyo inaweza kuchukua hata wiki 2 kabla hujawafikia wale wa chini kabisa. Muda mwingine viongozi watumie akili zao kwenye kutatua matatizo badala ya kusifia tu Mama muda wote..

View attachment 3154386
Akili zao zinajua kukata majina ya wagombea wa CHADEMA Tu. Wapumbavu mnooooo
 
Kariakoo hakuna space kubwa ya kuchimba Hilo shimo unalosema yani kunatofauti ya hatua mpaka Kumi Kati ya ghorofa na ghorofa pengine hakuna kabisa space.

Ongeza ubunifu alafu mpostie SSH mtagi hienda akukuteua kule zimamoto AU nenda pale pale k.koo katoe maoni
Kwamba huku wale wanao-post post za SSH kwenye mtandao wa X na social media nyingine hawawezi ona hapa?
Kwa taarifa yako yaani uzi ukitaja tu Samia, Mh, Rais etcunaonwa fasta na wanatake note!
 
Hapo labda utaokoa 10 tu halafu wengine utarudi kwenye njia hii inayoendelea.
Ghorofa la kariakoo unazifahamu zilivyo?
Nazifahamu, na nimeshiriki ujenzi wa mengi kati yao kuanzia design stages. Ukimaliza wa wa chini kabisa, unaanza kudrill vertical tunnels kuwafikia wa level za juu, one floor at a time, na wote unawapitishia kwenye underground tunnel, wakati huo Oxygen pumps zikiendelea kuingiza cooled hydrated air yenye high concentration ya Oxygen kupitia hiyo tunnel ili kupunguza uwezekano wa Suffocation na heatshock kwa walionaswa wakati wanasubiri kufikiwa.
 
Hiyo ni njia ya kuokoa basement! Chukulia Benjamin tower likititia, aliyeko gorofa ya 23 atatolewaje?


Punguzeni ushauri WA kijinga. Waliopo kariakoo ni wabobezi WA uokozi toka jwtz na zimamoto na uokozi.


Walionaswa kwenye kifusi wamebanwa tu, hawajaumia ndo maana wanachati na kuredi TikTok.

Kuna makomando wamewafikia na walioko hai watatoka hai usihifu, ukiwatoa kwa kukurupuka utaangamuza waokoaji na wahanga wenyewe.

Picha zimeshachuliwa na waliopo chini wanaonekana .
 
Nazifahamu, na nimeshiriki ujenzi wa mengi kati yao kuanzia design stages. Ukimaliza wa wa chini kabisa, unaanza kudrill vertical tunnels kuwafikia wa level za juu, one floor at a time, na wote unawapitishia kwenye underground tunnel, wakati huo Oxygen pumps zikiendelea kuingiza cooled hydrated air yenye high concentration ya Oxygen kupitia hiyo tunnel ili kupunguza uwezekano wa Suffocation na hitshock kwa walionaswa wakati wanasubiri kufikiwa.

Vertical columns !!kwa namna jengo lilivyoinama sasa??Unless lingekuwa limeshuka kwa wima.
 
Kwamba huku wale wanao-post post za SSH kwenye mtandao wa X na social media nyingine hawawezi ona hapa?
Kwa taarifa yako yaani uzi ukitaja tu Samia, Mh, Rais etcunaonwa fasta na wanatake note!
Kwa taarifa yako AU taarifa yangu toa hoja acha porojo
 
Hiyo ni njia ya kuokoa basement! Chukulia Benjamin tower likititia, aliyeko gorofa ya 23 atatolewaje?


Punguzeni ushauri WA kijinga. Waliopo kariakoo ni wabobezi WA uokozi toka jwtz na zimamoto na uokozi.


Walionaswa kwenye kifusi wamebanwa tu, hawajaumia ndo maana wanachati na kuredi TikTok.

Kuna makomando wamewafikia na walioko hai watatoka hai usihifu, ukiwatoa kwa kukurupuka utaangamuza waokoaji na wahanga wenyewe.

Picha zimeshachuliwa na waliopo chini wanaonekana .
Hawana huo ubobezi wowote, zaidi wanafundishwa katika nadharia tu.

Inapaswa hao waokoaji wawe wanafanya mazoezi katika uhalisia, mfano wa jengo lililoporomoka linawekwa halafu wanaanza kufanya zoezi la uokoaji...

Hawana uzoefu wowote ndio maana wakofika eneo la tukio macho yanawatoka tu hawajui wafanye kipi... Wanachofanya hata wananchi wa kawaida wangeweza... Hapo inapaswa waonyeshe professionalism yao.
 
Nazifahamu, na nimeshiriki ujenzi wa mengi kati yao kuanzia design stages. Ukimaliza wa wa chini kabisa, unaanza kudrill vertical tunnels kuwafikia wa level za juu, one floor at a time, na wote unawapitishia kwenye underground tunnel, wakati huo Oxygen pumps zikiendelea kuingiza cooled hydrated air yenye high concentration ya Oxygen kupitia hiyo tunnel ili kupunguza uwezekano wa Suffocation na hitshock kwa walionaswa wakati wanasubiri kufikiwa.
During designing muwashirikishe wataalamu mbalimbali ikiwemo Zimamoto na wataalamu wa majanga
 
Nilifikiria kitu kama hiki jana, ila naamini kikosi cha waokoji sio vilaza kiasi cha kukosa njia nyepesi na ya mapema kuwafikia walionasa.
 
Back
Top Bottom