Jinsi ya kuokoa watu toka kwenye underground ya ghorofa lililoanguka ndani ya masaa mawili

Hilo wazo liliwahi kutmika Geita Kuna shule ilibainika Kuna Dhahabu gafla police na migambo wakatia team eneo Hilo kulinda lakini wazawa wazalendo wakafili nje ya kizibo wakaanza kuchimba pembeni mashimo ya panya na wakakatuna na mkanda mambo yakawa saf
 
Kwa ghorofa kama hizo, njia zote zinafanyika in duality
 
Yote hayo huzingatiwa, hasa suala la ‘Fire escape routes’, ni critical design feature
 
Kariakoo barabara za ndani inapita gari moja tu, ukichimba tena hiyo barabara unaongeza ugumu wa kazi.
Barabara za kariakoo zimebana ila sio locked, huwa accessible kwa pande zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…