Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Tatizo langu lipo hapa.....hata nifanyaje kuacha hii kitu inaniwia ngumu.....kitambi karibu kinanifika magotini....sijui nimelogwa....?

zege+2.jpg
 
Mzizimkavu,

Asante kwa darsa,vipi mbona mnyama wa taifa haujamzungumzia kabisa ?.
Mkuu umekusudia Mnyama yupi wa Taifa? Ng'ombe? Nyama ya Ng'ombe ina madhara bora ule nyama ya kuku kuliko kula nyama ya ng'ombe au Kitomoto nyama zote zina madhara ila nyama ya kuku ndio bora inafaa kuliwa wakati wote mkuu.
 
Mkuu Mzizimkavu, nakupa big-up sana!! Kuna siku uliweka uzi sikumbuki ulikuwa unahusu nini ila nilibeba contents mhimu zilizokuwa zinanihusu! ambazo ni kunywa maji ya uvugu uvugu asubuhi kabla ya kuamka. Nimefanya hivyo kwa muda wa mwezi sasa na nimezoea. Siwezi kuamka asubuhi tena bila kupata maji ya uvugu uvugu, yananisaidia sana, nilikuwa nadalili za kufumka kitambi huko nyuma, sasa kinapotea ghafla, huwezi kuamini nimeloose weight 2 ~ 2.5kg ndani ya huu muda bila kufanya mazoezi.
Vitu vitamu vitamu haswa vyenye sukari nimepunguza, nikitaka juice nakamata ya chungwa au limao! hapa nilipo zinapatikana kwa urahisi kwa hiyo siyo shida. Mwisho, ni vizuri kwa kila mtu kujifanyia uchunguzi mwenyewe na kujua ni misosi ipi inamfanya awe hivi au vile ili kuimarisha afya zetu. Once more, thanks for your useful posts on the forum.
 
Mzizimkavu,

Asante kwa darsa,vipi mbona mnyama wa taifa haujamzungumzia kabisa ?.
Nyama ya Nguruwe



BWANA Yesu hakula kabisa nyama ya nguruwe. Alifuata barabara sheria za Musa na hivyo hakula nyama ya nguruwe. Katika Walawi 11: 7 , inasema: "Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheuwi; kwenu huyo ni najisi. Kwa

Sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao
"[1]. Mahusiano ya Yesu na nguruwe ni kule kutoa kwake ruhusa kwa majini walio najisi waliokuwa wamemuingia mtu kuwaingia wao (yaani nguruwe). Walipowaigia

kundi la nguruwe, walikimbilia majini na kuzama humo. Hata hivyo, watu wengi wanaojiita Wakristo leo sio tu wanakula nyama ya nguruwe, bali wanaipenda sana nyama hiyo mpaka wamewafanya nguruwe kuwa ndio somo la nyimbo za

mahadhi kwa shule za chekechea. Kwa mfano, (This little piggy went to the market Nguruwe huyu mdogo amekwenda sokoni) na hadithi za watoto (kwa mfano, The Three Little Pigs Nguruwe Watatu Wadogo). Nguruwe wa

Nyama ni katuni mashuhuri, na hivi karibuni sinema kamili ilifanywa kuhusu nguruwe aliyeitwa "Babe ; msichana mdogo". Hivyo, inaweza kusemwa kuwa wale wanaojiita wafuasi wa Yesu kwa hakika hafuati njia na mwenendo wa Yesu.
 
Jamaa hajaongelea juu ya SAMAKI vipi?

Samahani nilisahau Samaki nawapenda sana faida zake ni hizi hapa chini


SAMAKI (FISH)

Huyayusha damu, huifanya kuwa nyepesi
Huilinda mishipa ya damu isiharibike
Huzuia damu kuganda
Hushusha shinikizo la damu
Hupunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo na kiharusi
Hutuoa ahueni kwa wenye ugonjwa wa kipandauso
Husaidia kuzuia uvumbe mwilini
Huendesha mfumo wa kinga ya mwili
Huzuia saratani
Hutoa ahueni kwa wenye pumu
Hupambana na dalili za awali za ugonjwa wa figo
Huongeza nishati ya ubongo
 
Ha ha ha ha haaa mkuu kweli jamaa hajaongelea hiyo kitu bana


Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu

huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Mwenyezi Mungu asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate

kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kuhani akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'"(66: 17).


Na katika agano jipya, Yesu anasema: "Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha" (Mathayo 5: 17).



Na Qur-aan ipo wazi kabisa kuwa nyama ya nguruwe haifai kuliwa. Allaah Anasema:
"Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).
 
sawa mkuu nitajaribu.maana naona unene unanianDAMA MWENZENU NINA KG 73
Ukishindwa kunywa Maji ya Uvuguvugu na Asali kijiko kimoja na limau moja kubwa wakati wa asubuhi unapo amka kunywa Glasi moja ya Mtindi kila asubuhi mchana na usiku kwa muda wa miezi 6 utapunguwa huo unene.
 
Pole sana jaribu kunywa maji ya Uvuguvugu yaliyochanganywa na kijiko kimoja cha asali inshallah huta tapika.

Mkuu maji ya uvugu vugu unamaanisha yaliyochemshwa yakapoa kidogo au unamaanisha maji ambayo hayajawekwa kwenye jokofu?
 
Tukizama kwa makini tutaona ya kwamba Dini zote zimeharamisha nguruwe. Mfano tazama katika Biblia (Agano la Kale), Kitabu cha Walawi: "Na nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hachuei; kwenu

huyo ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama zao wala msiguse mizoga yao" (11: 7 - 8). Na katika Kitabu cha Isaya: "Mwenyezi Mungu asema hivi: 'Wapo watu waaojitakasa na kutawadha wapate

kuingia katika bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kuhani akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu'"(66: 17).


Na katika agano jipya, Yesu anasema: "Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha" (Mathayo 5: 17).



Na Qur-aan ipo wazi kabisa kuwa nyama ya nguruwe haifai kuliwa. Allaah Anasema:
"Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).

hapo mkuu ni kweli kabisa nafikiri lazima watu wa kawaida tumekuelewa mtu asipokuelewa hapo atakuwa abnormal kwa maana anafikira nyingi kupita kiasi au ndogo kupita kiasi
 
ukishindwa kunywa maji ya uvuguvugu na asali kijiko kimoja na limau moja kubwa wakati wa asubuhi unapo amka kunywa glasi moja ya mtindi kila asubuhi mchana na usiku kwa muda wa miezi 6 utapunguwa huo unene.
limao unakomaa bwana mimi mtoto wa kike atii
labda mtindi
 
Heart attacks and warm water


Description

The following chain letter has been distributed via email, and claims to offer advice about avoiding heart attacks. The email says that if it is forwarded to at least 10 people it will help save at least one life.The chain letter reads as follows:Subject: Heart attacks and drinking warm water

What do you think?

This is a very good article. Not only about the warm water after your meal, but about heart attacks. The Chinese and Japanese drink hot tea with their meals, not cold water, maybe it is time we adopt their drinking habit while eating.

For those who like to drink cold water, this article is applicable to you. It is nice to have a cup of cold drink after a meal. However, the cold water will solidify the oily stuff that you have just consumed. It will slow down the digestion. Once this "sludge" reacts with the acid, it will break down and be absorbed by the intestine faster than the solid food. It will line the intestine. Very soon, this will turn into fats and lead to cancer. It is best to drink hot soup or warm water after a meal.

A serious note about heart attacks - You should know that not every heart attack symptom is going to be the left arm hurting. Be aware of intense pain in the jaw line.

heartchain.gif


You may never have the first chest pain during the course of a heart attack. Nausea and intense sweating are also common symptoms. 60% of people who have a heart attack while they are asleep do not wake up. Pain in the jaw can wake you from a sound sleep. Let's be careful and be aware. The more we know, the better chance we could survive.

A cardiologist says if everyone who reads this message sends it to 10 people, you can be sure that we'll save at least one life. Read this & Send to a friend. It could save a life.



 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom