Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Usiwe hivyo naomba nione kwanza.Nipe tip kwanza then utapata picha ya before and after
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe hivyo naomba nione kwanza.Nipe tip kwanza then utapata picha ya before and after
Nimepunguza sana kula, but holaa uzito bado ni mkubwa
Ninafanyafanya mazoezi pia but still hola. Nina waswas naweza kuja kupata overweight related problems kama BP, kisukari! Nahitaji dawa yoyote whether artificial au natural
Nitafute mkuu kama kweli una nia. Nitakusaidia bila gharama zaidi ya bundle utakayotumia kujibu viswali viwili vitatu.Nimepunguza sana kula, but holaa uzito bado ni mkubwa
Ninafanyafanya mazoezi pia but still hola. Nina waswas naweza kuja kupata overweight related problems kama BP, kisukari! Nahitaji dawa yoyote whether artificial au natural
Samahani mkuu kinauzwa wapiNaimani utaleta mrejesho hapa in few days,Hiyo ni mipangilio ya vyakula vyako ndo vinasababisha hayo,pia kwa mujibu wa kitabu chake kasema watu wenye matumizi makubwa ya wanga wanashambuliwa na ugumba,kisukari,ngozi isiovutia,uchovu kila wakati,
Haamini kama mazoezi na kujinyima ndio njia ya kutatua matatizo hayo,
Kiufupi amepindua sana mtizamo wa watu wengi Kwene suala la magonjwa haya yasiyoambukiza. Mm nilikinunua kwa 30,000 tu,ila sijutii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chukua mkopo benki, nunua gari bovu, oa mwanamke mcharuko, fanya kazi chini ya boss mkali. Ndani ya mwezi kitambi kwishney.
Híi kali ya MwakaChukua mkopo benki, nunua gari bovu, oa mwanamke mcharuko, fanya kazi chini ya boss mkali. Ndani ya mwezi kitambi kwishney.
Mcheki Huyo Dr,Kwene page yake kuna detail za upatikanaji wa kitabu kila MkoaSamahani mkuu kinauzwa wapi
Kitambi ni uzembe wa kwenda haja kubwa,hebu punguza huo uzembe ndani ya miezi 3 uone.Nimepunguza sana kula, but holaa uzito bado ni mkubwa
Ninafanyafanya mazoezi pia but still hola. Nina waswas naweza kuja kupata overweight related problems kama BP, kisukari! Nahitaji dawa yoyote whether artificial au natural
Na wewe unacho Eve?[emoji87] [emoji87]Naomba namie hiyo tip ya kitambi
Nianze kwa kusema mimi sio daktari ila tatizo la uzito lilinifanya nisome articles nyingi kuhusu kupungua nikagundua yafuatayo ;Mkuu ulifanyaje nisaidie hili ni janga
Mi sina kitambi, na nakichukia mnoooNa wewe unacho Eve?[emoji87] [emoji87]
Wewe ni ke au me?Nimepunguza sana kula, but holaa uzito bado ni mkubwa
Ninafanyafanya mazoezi pia but still hola. Nina waswas naweza kuja kupata overweight related problems kama BP, kisukari! Nahitaji dawa yoyote whether artificial au natural
Mount Kilimanjaro....Nenda ukafanye kazi ngumu kama gereji vile,, na ujitume,, punguza kula mayai, chipsi na urojo.... Au kapande mountain kilimanjaro