Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

wabongo kwa kukariri[emoji23][emoji23]yaani vyakula hvyo ndo mmekaririshwa toka utotoni.Yaani huwez kila nyama na parachichi ukashiba???[emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Mbona methadone inanenepesha balaaaa...Nakumbuka RAyC alisema kuwa methadone inanenepesha.

Kwanza methadone zinatolewa clinic .unatakiwa uende kila siku ..

Sasa mateso yote yanini...Ukibonge Sio zambi looh...

Najua Siwezi kukupata Wewe Napoleon Ila ntampata mwingine mpenda mattercore
Nipo hapa nakufuatilia kwa ukaribu sana bibie

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Kula matunda kwa wingi
Vyakula vya wanga usile sana mfn nguna
Kunywa maji mengi
Fanya mazoez
Kula vegetables
Usipende kula nyama na vyakula vya mafuta
Thank me later
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
picha?
 
Punguza kula vyakula vya wanga, piga push up ingia utube Kuna video za mazoezi simple ya kupunguza uzito
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Acha bia
 
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.

Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.

Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.

N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Ungetatua Tatizo LA goti...mimi wakati nimeanza mazoezi ya kukimbia nilipata shida ya goti nikatatua kwa kuchua plus kutumia vitamins C supplements na kupumzika kama wiki mbili baada ya Hapo nikarecover hadi Leo nina Miezi 10 nikimbia na kitambi kimekuwa historia
 
Picha ya tumbo langu
663C85F0-5558-4363-ACFE-0595F3060D95.jpeg

Weka picha ili tujua tutakushauri

😅😅😅😅😅😅
 
Nakubaliana na wewe kabisa,
Mimi nina miaka mitatu nimebadili kbs maisha yangu, although kwangu mm mazoezi ninayoyafanya zaidi ni jogging lkn kuhusu kula nimefuata miongozo kama uliyoitaja hapo awali.

Kwa kifupi kila mtu anayenifahamu awali leo nikikutana nae ananiambia anatamani mwili kama wangu. Nimekata kama 24kg na kazi kubwa sasa ni ku-maintain weight niliyonayo.

Faida naziona waziwazi nikilala ni kama crown mzee no kukoroma, no kuhema ovyoovyo ukipandisha ngazi au kutembea kidogo, mama nae anaenjoy huku tough game......!!!

Wazee mazoezi mazur sana, mwili ushaji tune yaani nikikaa siku 3 sijafanya mazoezi i feel like mwili wangu hauko sawa na mind wise nakuwa kama nahitaji kufanya jambo ili akili ikae sawa, kumbe ni mazoezi tu hapo akili inataka.

Tukutane Atlas Marathon 18/10,wengine wanasema Marathon wewe unasema daily routine!!!

Wavivu laiti wangejua miezi miwili ya kwanza tu ndiyo migumu, baada ya hapo results zinaanza kuonekana huwezi kuacha unakua addicted. Hua naona mtu anaenda gym siku mbili miguu inamuuma analia ka mtoto hataki kabisa kurudi 😂 Nashangaa sana mtu ambaye hafanyi mazoezi kusema kweli
 
kilichosababisha tumbo kubwa ndicho kitaondoa tumbo kubwa, njia nyingine zote ni kujipa faraja ama matokea ya muda mfupi ila hutoweza kulinda libaki hapo hapo

Chakula ndo kilakitu katika kurekebisha mwili wa kilamwanadamu pia ukiwa unapata muda wa mazoezi ndo kunakusaidia kuimarisha na kuupa mwili ukakamavu
 
Back
Top Bottom