Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
wabongo kwa kukariri[emoji23][emoji23]yaani vyakula hvyo ndo mmekaririshwa toka utotoni.Yaani huwez kila nyama na parachichi ukashiba???[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wabongo kwa kukariri[emoji23][emoji23]yaani vyakula hvyo ndo mmekaririshwa toka utotoni.Yaani huwez kila nyama na parachichi ukashiba???[emoji23][emoji23]
Nipo hapa nakufuatilia kwa ukaribu sana bibieSasa Mbona methadone inanenepesha balaaaa...Nakumbuka RAyC alisema kuwa methadone inanenepesha.
Kwanza methadone zinatolewa clinic .unatakiwa uende kila siku ..
Sasa mateso yote yanini...Ukibonge Sio zambi looh...
Najua Siwezi kukupata Wewe Napoleon Ila ntampata mwingine mpenda mattercore
Siku 3 unakunywa maj tu?? Chai hii inafunga mwaka2020
Amedanganya yule hiv anazijua siku3..yaan analala anaamka analala anamka..yaan ni j3 had j5..Hii mim nitandodoka jamani
Kula matunda kwa wingiMimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
[emoji3][emoji3][emoji3]...jamani.magaga SI yamepona..Mbona mnanifanyia Hivyo...Huku kitambi, huku magaga[emoji1787][emoji1787]
Itabidi tu iwe ivo japo ni ngumu 😀Daah siku tatu!
Hakuna jambo la ajabu apo....Siku 3 unakunywa maj tu?? Chai hii inafunga mwaka2020
picha?Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Acha biaMimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Ungetatua Tatizo LA goti...mimi wakati nimeanza mazoezi ya kukimbia nilipata shida ya goti nikatatua kwa kuchua plus kutumia vitamins C supplements na kupumzika kama wiki mbili baada ya Hapo nikarecover hadi Leo nina Miezi 10 nikimbia na kitambi kimekuwa historiaMimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Picha ya tumbo langu
Weka picha ili tujua tutakushauri
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Jamani
HahHahahhahaahhahahahahAaah...Wewe unatuponda sisi vibonge...Ngoja tutafute wasize yetu.. usije nianzishia uzi..nafakamia Mawali...Mara nahema juu juuu [emoji3][emoji3][emoji3]
Nakubaliana na wewe kabisa,
Mimi nina miaka mitatu nimebadili kbs maisha yangu, although kwangu mm mazoezi ninayoyafanya zaidi ni jogging lkn kuhusu kula nimefuata miongozo kama uliyoitaja hapo awali.
Kwa kifupi kila mtu anayenifahamu awali leo nikikutana nae ananiambia anatamani mwili kama wangu. Nimekata kama 24kg na kazi kubwa sasa ni ku-maintain weight niliyonayo.
Faida naziona waziwazi nikilala ni kama crown mzee no kukoroma, no kuhema ovyoovyo ukipandisha ngazi au kutembea kidogo, mama nae anaenjoy huku tough game......!!!
Wazee mazoezi mazur sana, mwili ushaji tune yaani nikikaa siku 3 sijafanya mazoezi i feel like mwili wangu hauko sawa na mind wise nakuwa kama nahitaji kufanya jambo ili akili ikae sawa, kumbe ni mazoezi tu hapo akili inataka.
Tukutane Atlas Marathon 18/10,wengine wanasema Marathon wewe unasema daily routine!!!
Hahaha mwanzo wowote mgumu, ukishazoea inakua kawaida tu, inakua ngumu kuacha.Inashibisha lkn ngumu kumeza.