Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Mirembe karibu itajaa. Yaani umetamkiwa kiasi cha kwenda kukodolea mimacho ulipotokea huo utamu?? Hakuna mahusiano yeyote ya kuingiwa watu wengi na weusi kinyume chake ningekuambia kuwa, ule weusi ni kwa sababu hasuguliwi saana na midume mingi. Si hata weye wajua ukisugua hata mikono sana inakuwa myeupe kisa kukosa damu?
 
Vibonge ndio wanaongoza kuwa na sugu nyeusi njiapanda ya punani...
Sisi weusi ulitaka tuwe na Papa jeupe la kizungu, hyo kitu haina Cha umri Wala Nini, pia mapajani wanawake huchubuka msuguano wa mapaja ndio Kuna kuwa kweusi na sio umri. Ni Kama kwapa linavokuwa jeusi
 
Humu hawatosema ukweli
 
Kuna kitu kinachoitwa Salamandrine Hydrothermal and rationale ndiyo inayo sababisha hui uweusi
 
Chukua watoto wa darasa la nne wawili, mmoja wa International School of Tanganyika (IST) na mwingine wa IBOLOGELO SHULE YA MSINGI uwaangalie magotini. Nadhani swali lako litakuwa limejibika vizuri tu Mkuu.

"Maji ya Kisimi Mkorogi unadundi Yeah"
[emoji23][emoji23][emoji23] Ibologelo, umenikumbusha kijiji cha ibologelo pale igunga mkuu
 
Hahah unakausha.. hurudi tena... ila wewe nadhani utakua kama huyo avatar
[emoji23][emoji23][emoji23]hii saka k mnakutana na changamoto Sana loh.
Sifananii nayo hyo avator
 
Uwaone tuu hivi hivi huko mitaani wamepigilia mawigi na nini lkn ni shidaa..

Umeizidi yani
[emoji23][emoji23][emoji23]hii saka k mnakutana na changamoto Sana loh.
Sifananii nayo hyo avator
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…