Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Akili ikitumika ndio mazoezi ya ubongo... kukaa kimya nako ni matumizi ya akili si lazima kujibu au kufungua mdomo kwa kila usikiacho...Mnataka mpozwe vipi?
Mpumbavu hujulisha upumbavu wake pindi afunguapo kinywa chake...