Jinsi ya kuongea unaposhinda Uchaguzi, au unaposhindwa. Chama Tawala na Wapinzani wanapaswa kujifunza

Jinsi ya kuongea unaposhinda Uchaguzi, au unaposhindwa. Chama Tawala na Wapinzani wanapaswa kujifunza

Akili ikitumika ndio mazoezi ya ubongo... kukaa kimya nako ni matumizi ya akili si lazima kujibu au kufungua mdomo kwa kila usikiacho...
Mpumbavu hujulisha upumbavu wake pindi afunguapo kinywa chake...
Jibu swali, mnataka joto la uchaguzi lipoe vipi?
 
Jibu swali, mnataka joto la uchaguzi lipoe vipi?
Acha kushirikisha tumbo na mdomo... jikite kwenye mada. Sikiliza..., soma..., tafakari kisha toa jawabu...
Tanzania ni mali ya watanzania. Umoja na upendo haviji kwa kejeli na kashfa... wala haviletwi kwa matumizi ya nguvu na mihemko...
Endelea kuchemsha tumbo badala ya ubongo..
 
Acha kushirikisha tumbo na mdomo... jikite kwenye mada. Sikiliza..., soma..., tafakari kisha toa jawabu...
Tanzania ni mali ya watanzania. Umoja na upendo haviji kwa kejeli na kashfa... wala haviletwi kwa matumizi ya nguvu na mihemko...
Endelea kuchemsha tumbo badala ya ubongo..
Hoja ni kupoza joto la uchaguzi,sasa wewe unataka lipozwe vipi? Kwa maneno ya kisiasa? Uchaguzi umeisha tufanye kazi.
 
Ina apply ukishinda kihalali
Na ukishindwa kihalali...

Tanzania tuna mifano ya watu wawili ambao waliwahi kuongea ukweli wakachukiwa
Ingawa ukweli mtupu..

Kitwana Kondo
Iddi Simba..

Hawa baada ya kusambaza pesa hadi wanashinda kuteuliwa na chama na kushinda
Uchaguzi walipofuatwa na waliojifanya waliwasaidia kushinda waliwaeleza ukweli mchungu..

'mimi na nyinyi tumeshamalizana..niliwapa hela mkanipa kura ..msinisumbue..
--- Iddi Simba..

'hamkunichagua nyinyi..pesa yangu ndo imenichagua'
- Kitwana Kondo
Asante sana.
 
Mkuu hao "majamaa" huwa hawana muda wa kusikiliza wala kusoma bali kujibu tu...
Mkuu nimesoma vizuri kabisa na kusikikiza,mnataka joto la uchaguzi lipoe vipi baada ya Chadema kushindwa? Mnataka maneno ya kisiasa ili iweje? Uchaguzi umeisha nendeni mkafanye kazi.
 
Acha kushirikisha tumbo na mdomo... jikite kwenye mada. Sikiliza..., soma..., tafakari kisha toa jawabu...
Tanzania ni mali ya watanzania. Umoja na upendo haviji kwa kejeli na kashfa... wala haviletwi kwa matumizi ya nguvu na mihemko...
Endelea kuchemsha tumbo badala ya ubongo..

..wanasiasa wa Kitanzania hawajiandai vya kutosha kabla ya kuzungumza mbele ya hadhara.

..ukisikiliza hoja zao unaona kabisa kwamba ni watu wasiojisomea taarifa au majarida mbalimbali, yaani hawajiongezi.

..tatizo hili liko upande wa chama tawala, na vyama vya upinzani, na lina athari au matokeo mabaya kwa jamii yetu.

..hoja za viongozi wetu, au wanasiasa zikiwa ni nyepesi-nyepesi au za hovyo-hovyo, zinaathiri tafakuri na mijadala ktk jamii nzima.
 
Back
Top Bottom