Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu niliambiwaga muda mrefu nikajaribu ni kweli aisee.
Hata KWA siku mbili au tatu fresh tu!!ukiamua Hata kila siku jioni kabla ya mechi fresh tu!!Unatumia kwa siku moja ama?
MbivuKuiva kivipi sasa, yaani kwa kuchemshwa au kuwa mbivu?
Mkui mi Huwa nafanya!Hata usiku wa leo nimefanya! mzigo kama wote man!!Kuna watu watakifanya hiki Mkuu ,so! kama ni kamba hii Mungu anakuona
Wewe chemsha maganda ya Limao sasaNa sisi ambao hatutaki kutoa manii kabisa tunaotaka tusugue tu,tutumie magadi na nini mkuu?[emoji851]
Hata KWA siku mbili au tatu fresh tu!!ukiamua Hata kila siku jioni kabla ya mechi fresh tu!!
Wazo zuri sana. Hivi vingine ni kwenda kuchafua mashuka tu.
Wale wanaoenda raundi ya pili na kuhisi MAUMIVU FULANI hivi hata kutoa maji kidogo wananielewa VIZURI Sana!!
ngoja nijaribu
Nhoja nijaribu hii, ntaleta mrejesho
Sijaanza badoTupe mrejesho