Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Wasalaam ndugu zangu waswahili,
Leo nina hoja nzito saana upande wangu naomba tupeane ushauri mzuri tafwadhali... uki comment kebehi utalaaniwa immediately.
Ni hivi kwanza nini siri ya kufanikiwa katika maisha??
Binafsi nilikua na ndoto kubwa saana kiasi kilinisukuma kuset appointment ikulu nikiwa napambania kutimiza ndoto zangu.
I have tried kufanya biashara za kimaifa pamoja na kushirikiana na makampuni ya kimataifa.
Nimejaribu tasnia kadhaa ambazo zilisemekana zinaweza kukupa network au mafanikio kama burudani, madini,kilimo, teknolojia na siasa.
Nilikua very strategically mwenye hasira ya mafanikio bila uoga, kwa waganga nikaenda, mashekhe na manabii.
Sasa nikiwa nimevuka zaid ya nusu ya umri wa kustaafu nahisi uwezo wa kufikiria, ndoto na mikakati sina tena kutokana na kutofanikiwa kwa jambo lolote lile nililo invest na kusifiwa na watu wakubwa na mashughuli kwa nilio wafahamu...
Nimekua nikiulizwa na watu niliokua nao wakafanikiwa kufikia malengo yao kwamba kwann mimi sijatoboa ?? Nakosa majibu kabisaa naduwaa
So now naona maisha yangu yapo autopilot naishi maisha yatakavyo na si nitakavyo kwasababu naona nikiweka mikakati isipotokea basi ikitimia inakuja na changamoto kubwa hata siwezi dumu katika hayo mafanikio...
Natamani kurudi kwenye fomu kua na ndoto, ambition na hasira za kupanga na kupambana kutoboa, je nitumie mbinu gani kurudisha matumaini mapya ya mafanikio????
Leo nina hoja nzito saana upande wangu naomba tupeane ushauri mzuri tafwadhali... uki comment kebehi utalaaniwa immediately.
Ni hivi kwanza nini siri ya kufanikiwa katika maisha??
Binafsi nilikua na ndoto kubwa saana kiasi kilinisukuma kuset appointment ikulu nikiwa napambania kutimiza ndoto zangu.
I have tried kufanya biashara za kimaifa pamoja na kushirikiana na makampuni ya kimataifa.
Nimejaribu tasnia kadhaa ambazo zilisemekana zinaweza kukupa network au mafanikio kama burudani, madini,kilimo, teknolojia na siasa.
Nilikua very strategically mwenye hasira ya mafanikio bila uoga, kwa waganga nikaenda, mashekhe na manabii.
Sasa nikiwa nimevuka zaid ya nusu ya umri wa kustaafu nahisi uwezo wa kufikiria, ndoto na mikakati sina tena kutokana na kutofanikiwa kwa jambo lolote lile nililo invest na kusifiwa na watu wakubwa na mashughuli kwa nilio wafahamu...
Nimekua nikiulizwa na watu niliokua nao wakafanikiwa kufikia malengo yao kwamba kwann mimi sijatoboa ?? Nakosa majibu kabisaa naduwaa
So now naona maisha yangu yapo autopilot naishi maisha yatakavyo na si nitakavyo kwasababu naona nikiweka mikakati isipotokea basi ikitimia inakuja na changamoto kubwa hata siwezi dumu katika hayo mafanikio...
Natamani kurudi kwenye fomu kua na ndoto, ambition na hasira za kupanga na kupambana kutoboa, je nitumie mbinu gani kurudisha matumaini mapya ya mafanikio????