Jinsi ya kuongeza uwezo wako wakati katika tendo la ndoa

Aisee kwenye hiki kipengele ni ukweLi kabsa nmekuja kugundua ukiwa na demu mzuri na unampenda aisee huchelewi dkk 10 tu mashine inainuka tu ynyewe ila tatzo kuna mda tunavamia migume gume hatuipendi tukipga kimoja hatumtamani tena 😁😁juzi nmepga show kwa demu mzuri na namkubali aisee acheNi tu nimeunganisha bao 2😁😁 daH
 
Umejua kusummarize mkuu, inaonekana ulikuwa vyema enzi zako shule
 
Kabisa mkuu, tafuta demu chumaa, lazima upige ndefu yenye viwango
 
Mkuu bandiko refu kiasi hiki for what??kupiga show Kali ili iweje,wakati tunaopiga tako 2 utam umo pale pale?Tushasema madem kileleni watajipambania.
 
Hahahaha ni kweli mkuu, sema si unajua sometimes just kwa ajiili ya kuweka heshima, lazima nondo kama hizi zitumike
 
Summary ya mada nzima hio hapo ipo kwenye image hii hapa
 

Attachments

  • Picsart_23-06-06_12-53-45-101.jpg
    223.1 KB · Views: 14
Wakuu njooni mchangie huku
 
Nimesoma point namba moja ...na nimemaliza ..... hizo zingine watamalizia webgine na sisitiza tafuta pesa
 
Nasimama na MSIMAMo wangu ule ule

Ngono ni kipaji kama vipaji vingine mfano Mpira, kuimba, sarakasi etc.

Ngono pia ni kipaji.

Inategemea umebarikiwa vipi na Muumba wako.

Ule matikiti ule maboga.. ule nazi .. ule MKAA ule mavi etc kama hauna Maajabu ni hauna tu.
 
Nimesoma point namba moja ...na nimemaliza ..... hizo zingine watamalizia webgine na sisitiza tafuta pesa
Kabisa mkuu, pesa ni muhimu sana kama unataka kupiga show heavy, inabidi uwe na mawe ya kutosha
 

Hata kipaji nacho kinahitaji jitahada na kujaliwa ili kiweze fikia max possible output, na ndo hicho ninachojaribu kukifanya
 
hatar

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 

Upewe maua yako kijana,zote hizo pwenti.NAUNGA MKONO HOJA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…