Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

Niwie radhi mkuu kwa maswali yangu. Meditation sahihi inafaa kufanywa mtu akiwa amelala au ameketi. Mi Mara nyingi huwa najaribu kufanya nikiwa nimelala chali na matokeo yake nakuja kushtuka asubuhi nikiwa sikumbuki chochote. Swali lingine youtube kuna sound beats za meditation (binaural vibration) nikweli huwa zinasaidi au hazisaidii?
Na kama zinasaidia mbona inasemwa kuwa meditation inahitaji utulivu wa hali ya juu sana, Sasa kwenye beats mbona kunakuwa hakuna utulivu tena?
Binaural beats zinafaa baadhi sana na kwa sauti ya ile husaidia pia utulivu lakini kwa watu wanaoanza wasioweza kufunga outer chatter ndio huanzia beat nazo hazitaki utumie muda mrefu.
Unaweza kukaa mkao wowote ukifanya meditation kubwa uwe umetulia

Rakims
 
Mi jana usiku nimeota marafiki zangu wawili wamekufa nimelia sanaa jamani na nilivyoamka nimeogopaje
 
Mimi huwa naota Mara nyingi sana nikishituka ule muda niliota nikiwa kwenye ndoto ,unakuwa ni uleule (halisi)nikiangalia saa.imenitokea sana ,
 
Mimi huwa naota Mara nyingi sana nikishituka ule muda niliota nikiwa kwenye ndoto ,unakuwa ni uleule (halisi)nikiangalia saa.imenitokea sana ,
Kuna ujumbe umejificha katika hizo ndoto tafuta dream diary uwe unaandika
 
Mkuu Rakims mimi nimeota nimeua, kuna kibaka (mhuni) alitaka kunipora silaha (bastola) nikamstukia tukapigana kwa purukushani nikamshinda, nikampiga hadi akafa nikamtupa baharini, nikaanza kutafutwa na polisi kesi ya mauaji.
Hii ndoto sio mara moja kuiota, na kipindi cha nyuma nilishawahi kufanya kazi ya kuescort pesa na madini nilikuwa natumia bastola ila kwasasa nimeshaacha hiyo kazi.
Hii ndoto ina maana gani?
 
Mkuu Rakims mimi nimeota nimeua, kuna kibaka (mhuni) alitaka kunipora silaha (bastola) nikamstukia tukapigana kwa purukushani nikamshinda, nikampiga hadi akafa nikamtupa baharini, nikaanza kutafutwa na polisi kesi ya mauaji.
Hii ndoto sio mara moja kuiota, na kipindi cha nyuma nilishawahi kufanya kazi ya kuescort pesa na madini nilikuwa natumia bastola ila kwasasa nimeshaacha hiyo kazi.
Hii ndoto ina maana gani?
Una vita ya kiroho inayoendelea either ulimfanyia mtu ubaya sasa mizimu/mashetani ya kwao yanakuwinda kukudhuru

Rakims

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Rakims
Mimi nimeota mchepuko amenipa pipi machungwa nikiwa pamoja na mke wangu na mwanangu.
Nini tafsiri ya hii ndoto.
 
Rakims
Mimi nimeota mchepuko amenipa pipi machungwa nikiwa pamoja na mke wangu na mwanangu.
Nini tafsiri ya hii ndoto.
Maana yake kutakuwa hakuna siri tena mtoto wako atakufuma na mama anaweza kujua kuwa unazini na huyo mchepuko na kama wanafahamu basi jiandae kufumaniwa

Rakims

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuwa expert wa iz ndoto.. Huwa nazitumia kwa sexual fantasy.. Very interesting
 
Mkuu Rakims mimi ni mtoto wa mwisho kati ya watoto wa 5 tatizo langu kwenye ndoto zangu mara nyingi naota nagombana na ndugu zangu na kwenye real world hatunaga maelewano mazuri kutokana na mimi kuwa na misimamo na maono tofauti na wao kuhusiana na hali ya maisha yetu nyumbani.

Tumezaliwa kwenye dhiki na ndoto zangu ni kuibadili hali ya maisha yetu cha ajabu kila ninalojaribu kulifanya wananipinga vikali sana. Kuna muda wanasema nimelogwa, sasa nikijaribu ku connect dots na ndoto za vita kati yangu na wao napata ukakasi. Hii inaweza kuwa ina maanisha nini?

Tafadhali mkuu nsaidie
 
Back
Top Bottom