Na Hili Ni JIBU langu na Ushauri Kwake.....
Anaongelea Lucid Dreams Nimeupdate Uzi Wa Kuhusu Hii Mambo Lakini Modes Wameona Sijui Watu Watajifunza Mengi.... Actually Wenzio Tukiingia Lucid Tunaenda Kuwasiliana Na Watu Wenye Elimu Za Maana Na Tricks Za Maisha Wewe Unaenda Kusex Na Office Girl (Cha Wote) Means hujui maana ya lucid dream kama una dream journal ungefaidi sana... ushauri wa bure "fanya ya maendeleo na yakujifunza" mimi pia niliwahi kufanya lucid dreams toka mwaka 2009 niliwahi kuthubutu kumbusu Celion Dion Lugha Anayoongea Mule Ilikuwa ni kifaransa lakini mimi nikimskia kwa kiswahili fasaha yani namuelewa kwa mind sio ndoto ni more than that pia mtu wa kwanza kunifundisha kiingereza ni ben carson ndotoni ushawahi kumskia huyu mtu? lakini hadi sauti yake niliiskia na kuithibitisha kutoka youtube nilishangaa sana kiukweli ukiwa ndotoni unakuwa in spirit form so nilivyomkiss huyu mwanamama nikaona lidiculous nikatafuta kioo maana ndio huaminika way out lakini hakikunitoa nikasimama nikasema hapa ni licid world naweza kufanya nitakacho bila damage yoyote sasa nahitaji nikihesabu hadi 1 from 5 natoka hapa na huu ndio ufunguo wangu kama wewe watumia kioo mimi natimia namba ila wapo pia hutumia kukapua macho kwa wingi anatoka...
thanks for your update unachotakiwa kufanya kama unamtaka huyo celebrate muote tena fanya kumseduction atarespond akikubali basi in real world atakubali akigoma dont give a try... coz ukiamrisha kwenye lucid means unacheza na ubongo wako lakini ukijiwajibisha utakipata in real world...
je wajua?
"muandishi wa movies za matrix alifanya lucid dreams na kutengeneza movie ya matrix pia lewis carroll aliandika alice in wonderland baada ya kufanya lucid....
unachotakiwa kufanya yafanye maisha ya lucid dream kwamba leo naishia hapa kesho nitaendelea...
hii utakusaidia pia katika kukamilisha usemi wa "Timiza Ndoto Zako"
Je, Utatimiza Ndoto Bila Kuota?
"Rakims"