hkeenshine
Member
- Jan 5, 2013
- 36
- 4
Tube mate is da best app for utube videoz, i use it for yrs now.
Extra: dowload any dowload manager,, via google play.
Extra: dowload any dowload manager,, via google play.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE FATA STEPS HIZI ni verry simple
1. Ingia www.youtube.com
2.Tafta video unayoitaka then iplay
3.Wakat inaplay nenda juu kwenye URL pale futa http://www. then weka ss
Mfanao: http://www.youtube.com/obbymovies/szrtuy isomekessyoutube.com/obbymovies/szrtuy then enter
4.Iache iload itafunguka then angalia upande wako wa kulia utakuta fomarts mbalimbali mp4. 3gp na nyingine nyiingi click unayotaka!!
5 Itaanza kudownload THAT Z ALL.. kama hujaelewa uliza

Ulichofanya ni nini katika jaribio lako la kupakua video? Lengo la swali ni kujua ulipoishia ili niendeleze maelezo. Mimi hapa nina 8GB za bundle ya airtel ninapakua kwa kutumia realplayer. Hebu nieleze ulichofanya so far
Hiyo ni promosheni ya airtel iliyopo hadi sasa, ukinunua modem yao sh. 30,000/= wanakuwekea na 8 GB kwa mwezi za kuanzia. Nilikuwa na modem ya tigo ambayo ningenunua 3 GB kwa mwezi, nikaona niongezee elfu tano ili hiyo elfu thelathinii nipate modem + 8 gb, na sasa ninazo modem mbili, muda ukiisha nitaamua niiwekee ipi kati ya hizo.Mkuu hzo gb 8 umezipataje na kwa sh ngapi???
Ndg,pakua Browser inaitwa Torch kisha install kwenye pc yako hii ina kila kitu unachokihitaji ktk kupakua video,kumbuka kuinstall ukiwa onlineWapendwa nimeona movie nzuri sana kwenye YOUTUBE nimejaribu kui-Download ili niiweke computer yangu nimejaribu lakini nimeshindwa nikaona nikimbilie hapa ili nisaidiwe,
Nawasilisha.
oh poa kama hvyo basi sawa nilijua kwene vifurushi vyao vya kawaida.Hiyo ni promosheni ya airtel iliyopo hadi sasa, ukinunua modem yao sh. 30,000/= wanakuwekea na 8 GB kwa mwezi za kuanzia. Nilikuwa na modem ya tigo ambayo ningenunua 3 GB kwa mwezi, nikaona niongezee elfu tano ili hiyo elfu thelathinii nipate modem + 8 gb, na sasa ninazo modem mbili, muda ukiisha nitaamua niiwekee ipi kati ya hizo