Jinsi ya kupambana na ushoga kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na Wanaume na Wanaume kuigiza kama Wanawake

Jinsi ya kupambana na ushoga kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na Wanaume na Wanaume kuigiza kama Wanawake

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mhe. Dr. Gwajima, Dkt. Gwajima D
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Mheshimiwa Waziri,

Kwa heshima na taadhima, ninakuletea maoni yangu kuhusu jinsi ya kupambana na suala la ushoga katika jamii yetu. Naamini kuwa moja ya njia muhimu za kukabiliana na tatizo hili ni kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na wanaume. Ushoga ni changamoto kubwa katika jamii yetu, na ni jukumu letu kuhakikisha tunalinda maadili na utamaduni wetu.

Pendekezo la Sheria Kali
Ninapendekeza kutungwa kwa sheria kali ambazo zitaelekeza yafuatayo:

1. Kuzuia Mavazi ya Kike Kuvaliwa na Wanaume:
- Sheria itakayozuia wanaume kuvaa mavazi ya kike hadharani.
- Adhabu kali kwa wanaume watakaokiuka sheria hii, ikijumuisha faini na kifungo.
- Kuweka kifungu maalum kinachotambua kwamba mashoga wengi hutambuliwa kwa mwonekano wa mavazi.

2. Kuwajibisha Wasanii na Watu Maarufu:
- Sheria kali dhidi ya wasanii wa muziki na filamu ambao wanachangia kuharibu maadili ya jamii yetu kwa kuvaa mavazi ya kike, hereni za kike, na kuigiza kama wanawake.
- Adhabu kali kwa wasanii na watu maarufu wanaokiuka sheria hizi, ikijumuisha kufungiwa shughuli zao na kutozwa faini kubwa.

Mheshimiwa Waziri, kutunga sheria kali kama hizi ni hatua muhimu katika kulinda maadili na utamaduni wetu. Kupitia sheria hizi, tutaweza kupunguza matendo yanayoashiria ushoga na kurejesha maadili mema katika jamii yetu. Ni muhimu kuchukua hatua hizi sasa ili kulinda vizazi vijavyo na kuhakikisha kuwa tunadumisha utamaduni wetu safi na wenye heshima.

Na ikiwezekana hawa wasanii waanzishiwe somo la maadili ya mtanzania. Kabla hawajaanza kuimba au kuigiza wasome hilo somo kisha wapewe leseni ya muziki au kuigiza.

Pia mtu akitunga nyimbo yake au video yake kabla ya kuitoa kwa jamii ipitie BASATA kukaguliwa kikamilifu ndio itolewe.

Asante kwa kunisikiliza, na naomba maoni yangu yazingatiwe katika hotuba yako ya bajeti inayokuja.
 
Lazima sheria ya kupiga marufuku mavazi ya wanaume kuvaliwa na wanawake ili kupunguza Lesbian,maana mtaani hali sio nzuri.

Vita haipaswi kuwa ya mashoga tu,bali hata wasaganaji.
Mavazi?? Aloo sasa mavazi yanahusiana vipi na hivyo vitendo, hebu kuweni serious basi.

Lesbians wanaovaa kama wanaume ni vitoto vya elfu mbili ambavyo vikikua vinaacha na kua lesbians wa kimya kimya kama walivyo wengi.
Na hapo wengine wanaiga tu kuvaa kiume na sio lesbians.
 
Mhe. Dr. Gwajima, Dkt. Gwajima D
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Mheshimiwa Waziri,

Kwa heshima na taadhima, ninakuletea maoni yangu kuhusu jinsi ya kupambana na suala la ushoga katika jamii yetu. Naamini kuwa moja ya njia muhimu za kukabiliana na tatizo hili ni kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na wanaume. Ushoga ni changamoto kubwa katika jamii yetu, na ni jukumu letu kuhakikisha tunalinda maadili na utamaduni wetu.

Pendekezo la Sheria Kali
Ninapendekeza kutungwa kwa sheria kali ambazo zitaelekeza yafuatayo:

1. Kuzuia Mavazi ya Kike Kuvaliwa na Wanaume:
- Sheria itakayozuia wanaume kuvaa mavazi ya kike hadharani.
- Adhabu kali kwa wanaume watakaokiuka sheria hii, ikijumuisha faini na kifungo.
- Kuweka kifungu maalum kinachotambua kwamba mashoga wengi hutambuliwa kwa mwonekano wa mavazi.

2. Kuwajibisha Wasanii na Watu Maarufu:
- Sheria kali dhidi ya wasanii wa muziki na filamu ambao wanachangia kuharibu maadili ya jamii yetu kwa kuvaa mavazi ya kike, hereni za kike, na kuigiza kama wanawake.
- Adhabu kali kwa wasanii na watu maarufu wanaokiuka sheria hizi, ikijumuisha kufungiwa shughuli zao na kutozwa faini kubwa.

Mheshimiwa Waziri, kutunga sheria kali kama hizi ni hatua muhimu katika kulinda maadili na utamaduni wetu. Kupitia sheria hizi, tutaweza kupunguza matendo yanayoashiria ushoga na kurejesha maadili mema katika jamii yetu. Ni muhimu kuchukua hatua hizi sasa ili kulinda vizazi vijavyo na kuhakikisha kuwa tunadumisha utamaduni wetu safi na wenye heshima.

Asante kwa kunisikiliza, na naomba maoni yangu yazingatiwe katika hotuba yako ya bajeti inayokuja.

..kuna mtu mkubwa serikalini anatuhumiwa kuwa ni msagaji. Shida inaanzia hapo.
 
Mavazi?? Aloo sasa mavazi yanahusiana vipi na hivyo vitendo, hebu kuweni serious basi.

Lesbians wanaovaa kama wanaume ni vitoto vya elfu mbili ambavyo vikikua vinaacha na kua lesbians wa kimya kimya kama walivyo wengi.
Na hapo wengine wanaiga tu kuvaa kiume na sio lesbians.
Kuna namna ya ku-shape Gender ya mtoto kutokana na jinsi yake,hivyo hatua za mapema ni muhimu nje na hapo ndo hiyo mtoto wa kike kuvaa kiume au mtoto wa kiume kuvaa kike.
 
Mavazi?? Aloo sasa mavazi yanahusiana vipi na hivyo vitendo, hebu kuweni serious basi.

Lesbians wanaovaa kama wanaume ni vitoto vya elfu mbili ambavyo vikikua vinaacha na kua lesbians wa kimya kimya kama walivyo wengi.
Na hapo wengine wanaiga tu kuvaa kiume na sio lesbiansi
Huwezi kuelewa kama huna D mbili.
 
Kama una rafiki ni kioo cha jamii anavaa magauni, anapaka wanja, ana vaa madela, anavaa suruali za kikee, anavaa sindiria alafu anaigiza au anaimba watoto wetu wanamtazama huyo niwakutungiwa sheria kali.
Meneja unazingua.
Kwamba watoto wataiga huko kuvaa kama mwanamke??
Yaani kisa joti anavaa kama demu basi na wanao wa kiume nao wataiga kisa joti anaigiza kavaa vile?
Hiyo familia itakua ni ya kupigwa mijeredi kabisa.
 
Kama una rafiki ni kioo cha jamii anavaa magauni, anapaka wanja, ana vaa madela, anavaa suruali za kikee, anavaa sindiria alafu anaigiza au anaimba watoto wetu wanamtazama huyo niwakutungiwa sheria kali.
Nimeona clip Moja ikitembea ya dulvani na mbosso wamevaa mavazi ya kike na wanasukana. Nilistikika mno halafu wanawake ndo washabiki zao wakubwa Wana wasifia vibaya mno.

Pia katika Sheria hiyo serkali ituachie sisi raia pia kushughulika nao ki mlalo ulalo yaani ukiona au kuthibisha nikutia kiberiti yeye pamoja na basha wake
 
1. Crossdressing huwa ni kwa ajili ya burudani tu. Huwezi kuta mtu kavaa tofauti na jinsia yake anazurura mitaani....

2. Wanaume wanaweza kuvaa hereni na kusuka, wala haina uhusiano na ushoga, ni mitindo hiyo ina watu wake

3. Kiini kabisa cha tatizo, chanzo cha ushoga hakijulikani. Huwezi tatua tatizo bila chanzo
 
Wanalumumba mna vituko mpo tayari kuishi kwa kujitegemea au mnapiga kelele tu ?

Oneni mwenzenu mropokaji zero brain alirukwa mbali na waziri !

Usichokijua nchi imefungamana na international agreements nyingi ambazo kipo kipengele cha kuheshimu uhuru wa maoni na faragha za watu na haki zingine za binadamu sasa huko CCM huwa mnatoka mbele tu bila kukaa n kutafakari muanze kwanza kujitoa kwenye hiyo mikataba ya kimataifa ndio muanze sasa kupiga vita ushoga vinginevyo mtapata matamko na kuwekewa vikwazo vya kunyimwa mikopo mwisho mnarudi mezani kuomba.

Hiyo ilitokea enzi ya aliyejiita jiwe je huyu mama yenu muuza bandari ataweza kuzuia hao mnaowaita mashoga?

Mimi upande wangu naamini maadili huanzia kwenye familia ukishindwa kumuweka mwanao kwenye mstari nani aje akusaidie sasa?
images (82).jpeg
 
Back
Top Bottom