Jinsi ya kupambana na ushoga kwa kutunga sheria kali zinazo zuia mavazi ya kike kuvaliwa na Wanaume na Wanaume kuigiza kama Wanawake

Kuna umuhimu pia kutenganishwa hawa mashoga

Watomb*ji hata hamuwagusi ila waathirika wanaokazwa mana mtaani ndo wengi
 
Kwenye shughuli nyingi za kutunzana kinamama wamewageuza mashoga kama wanawake wenzao
 
Kuna msanii mkubwa kavaa mahereni makubwa kwenye tangazo hadi unasikia kutapika!
 
Tunacho hitaji ni sheria kwanini mwanaume avae mavazi ya wanawake na huku ni kioo cha jamii. Watoto wetu wanajifunza nini kutoka kwake. Lazima tuanze na source ya haya mambo.
 
Kwenye shughuli nyingi za kutunzana kinamama wamewageuza mashoga kama wanawake wenzao
Haya mtoto yupo kwenye TV anamwona bwana Ndumila kuwili amevaa sketi au amepaka wanja hapo mtoto anaweka picha gani kichwani.
 
Kuna umuhimu pia kutenganishwa hawa mashoga

Watomb*ji hata hamuwagusi ila waathirika wanaokazwa mana mtaani ndo wengi
Hii sasa ipo kwenye sheria ya sasa ambayo ndio inaangalia zaidi hapa baada ya watu kuonekana wanafanya hivyo ila tulisahau source.
 
Huwezi kumzuia mtu kuvaa nguo anayoitaka. Lazima uangalie kanuni za Kikatiba na Kisheria. Cc: Dkt. Gwajima D

Watu watavaa nguo wanazotaka. Hakuna sheria ya mavazi katika nchi yoyote duniani labda nchi za kifashisti za waislamu waliochanganyikiwa.

Hiyo sheria ikitungwa nitakuwa wa kwanza kwenda kuifuta haraka sana kwa sababu itakuwa ni sheria mufilisi na batili iliyo kinyume na Kanuni za Kikatiba.

Gauni nivae mie kuwashwa uwashwe weye Heheheeiyaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Cc Lamomy
 
Ninyi mnaopinga kuna kitu kipo nyuma yenu lazima. Unawezaje kuzungumza mambo ambayo hayapo duniani. Mwanaume kuvaa nguo za kike?
 
Sheria ya mavazi itungwe usichanganye mambo ya dini na tamaduni za dunia.
 
Kuna mambo yanahitaji tu approach chanya na si lazima adhabu kali. Inabidi tubadilishe mindset. Watu hawabadilishwi na sheria kali, bali enlightenment. Wakijitambua watabadilika na hii inahitaji elimu.
 
Mavazi ni tamaduni za jamii husika.
 
Hivyo sio vyanzo vya ushoga na haitakuwa msaada katika hiyo vita.

Ukitaka kupambana na ushoga tazama aina za familia za sasa. Kwanza hizi za single mothers, halafu zile ambazo baba huwa hayupo nyumbani muda mwingi.

Watoto wa kiume ile kitu huwa ina waathiri sana.
 
Kwani kwasasa unatumia mbinu gani kumtambua shoga?
 
Umewaza vyema...

Lakini kumbuka kuwa ushoga au usagaji ni dhambi kama zilivyo dhambi zingine kama wizi, kusema uongo, ujambazi nk

Dhambi ni roho iliyo ndani ya mtu. Sawa utatunga sheria ya kuzuia asivae mavazi ya kike au ya kiume ktk mwili. Vipi tabia yake ya "ushoga" au "usagaji" iliyo katika roho/moyo wake ndani?

Na kumbuka kuwa, tendo la mapenzi ya jinsia moja (usagaji/ushoga) hayafanyiki hadharani bali hufanyika sirini kwenye nyumba zao.

PENDEKEZO LA SULUHU:
1. Tabia au mwenendo mbaya wa kimaadili hususani maadili ya kingono, hautibiwi au sema haukomeshwi au kurekebishwa kwa sheria kali. Sheria siku zote huchochea kutendeka zaidi kwa kile unachotaka kukizuia. Hili ni moja na lishike sana..

2. Tabia mbaya, maadili mabaya hutibiwa au hukoma ktk jamii kwa mafundisho au kwa kuwaelimisha watu ubaya wa kile wakifanyacho. Ikifanyika kwa usahihi na kwa upendo bila kuwanyanyapaa watu wa namna hii, wataacha tabia zao mbaya na kuwa watu wema..

NI JUKUMU LA NANI KUFANYA HAYA?

Hapa ndipo jukumu la dini linapoingia.

Lakini cha kusikitisha ni kuwa, dini (madhehebu ya kidini) mengi yanawatenga na kuwanyanyapaa mashoga na wasagaji.

Hii siyo sawa na sio sahihi..

Kwa dini kufanya hivi yaani kuwatenga na kuwanyanyapaa watu hawa, ni sawa na daktari professional kukataa kumpatia matibabu mgonjwa aliyeletwa kwake amtibu..

Kwa hiyo, kwa maoni yangu, sheria pekee hazitoshi na pengine hazitaweza kutibu tatizo la ushoga.

Sheria itakachofanya ni kuwapiga marufuku tu kuonekana hadharani wakiwa ktk mavazi ya mtindo fulani, lakini sirini matendo yatakuwa yanafanyika kwa nguvu sana..!
 
Hapo chacha wizo ake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…