Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Hahahaa, kwa hiyo hiyo si kazi nzuri? Interior design ni moja ya kazi zisizojulikana lakini zinalipa sana; project moja ya nyumba ya kuishi vyumba viwili, sebule, jiko si chini ya 2M, na ni kazi ya siku kadhaa tu anadesign, unaconfirm, anakabidhi kazi kwa contructor wako! Kama unataka akuchagulie na kukupangia fenicha pesa inaongezeka!!!

Sijasema kuwa sia kazi nzuri. Ila nimesema hivyo kwa sababu tulikuwa hatufanyi hizo kazi kwa ajili ya kujipatia kipato bali tulikuwa tunafanya just for fun.
 
Young Master wewe hujaoa na huna watoto.

Unadhania unaweza kuweka hizo white ukiwa na watoto wadogo? Umetandika tu anakuja spidi kutoka nje na anarukia kitanda na kurukaruka hapo juu.

Unaishiwa nguvu lakini unabaki kukataza na kuangalia tu na hasa ukiona katoto kanavofurahia basi unamezea.

Hiyo ndiyo real life hata ukijifanya mzungu vipi.
 
Ni kweli madela yanaharibu mvuto wa mwanamke hasa nyakati ambazo wewe na mpenzi wako mnakuwa faragha. Huwezi kunivalia mat-shirt makubwa au madela halafu ukategemea mimi nipate hisia za kufanya mapenzi na wewe. Lazima univalie nguo zenye mvuto na ninazozipenda ambazo wewe unajua kabisa nikiziona tu mwiliko wako lazima babu aamke huko kwenye suruali.

Sasa li-tshirt nililopigilia saa hizo si la kwako? Bado halitakuvutia?

In short, hiki ni kipengele ambacho wengi wetu tunakipotezea!
 
Young Master wewe hujaoa na huna watoto.

Unadhania unaweza kuweka hizo white ukiwa na watoto wadogo? Umetandika tu anakuja spidi kutoka nje na anarukia kitanda na kurukaruka hapo juu.

Unaishiwa nguvu lakini unabaki kukataza na kuangalia tu na hasa ukiona katoto kanavofurahia basi unamezea.

Hiyo ndiyo real life hata ukijifanya mzungu vipi.

Sasa hapo ndipo unapoona umhimu wa kuwatengea watoto chumba chao. Kwani wazungu inamaana hawana watoto ndio maana ni wasafi? Kwa nini sisi tushindwe?
 
Sasa li-tshirt nililopigilia saa hizo si la kwako? Bado halitakuvutia?

In short, hiki ni kipengele ambacho wengi wetu tunakipotezea!

Sasa hapo inategemea na wakati na mazingira. Mimi huwa napendelea au nashauri zaidi watu kuvaa nguo za wapenzi wao hasa pale wanapowamisi kwani kwa kufanya hivyo kunaongeza zaidi mapenzi kwa kuonyesha ni jinsi gani unampenda na jinsi gani ulivyo muhimu katika maisha yake.

Haitopendeza wala kuvutia endapo kila siku nitakukuta ukiwa umevaa t-shirt yangu tu. Mapenzi ni sanaa kama zilivyo sanaa nyingine hivyo yanahitaji ubunifu kama zilivyo sanaa nyingine ili kutokusababisha kuchokana haraka hali inayopelekea wengi wetu kutoka nje ya ndoa kwa kuwa penzi lenu lililokuwa na mvuto hapo zamani sasa limekosa mvuto.
 
...YM haya majambo.....
Ni kweli kabisa mabinti humzimika mwanaume wanapokuta geto limepangika...anaishia kuaga hata mara 10 lakin haondoki...
 
Sasa hapo ndipo unapoona umhimu wa kuwatengea watoto chumba chao. Kwani wazungu inamaana hawana watoto ndio maana ni wasafi? Kwa nini sisi tushindwe?

Na kwa wale tunaoishi chumba kimoja na kila kitu tunahifadhi humohumo.....bado na katoto kanaingiza mchanga mpaka ndani kitandani?
 
Na kwa wale tunaoishi chumba kimoja na kila kitu tunahifadhi humohumo.....bado na katoto kanaingiza mchanga mpaka ndani kitandani?

Kama uwezo wenu unawaruhusu kuwa na chumba kimoja basi hilo si tatizo kwani cha muhimu hapo ni chumba chako ni kuonekana kisafi na nadhifu wakati wote. Mnapaswa kumfunza mtoto wenu awe msafi na awe anaheshimu chumba na sio kuingiza ingiza mchanga chumbani hivyo kama chooni.

Pia pamoja na kwamba mnakaa chumba kimoja bado unapaswa kuhakikisha kila kitu kilichomo humo chumbani kinapangwa vizuri ili kukiweka chumba katika hali nadhifu na ya kuvutia na sio kuacha vitu shagalabagala eti kwa sababu uko chumba kimoja.
 
Najua asilimia kubwa ya Watanzania hapa nchini wanaishi kwenye Nyumba za kawaida, nyingi zinakuwa na vyumba kuanzia 2 - 4, pia vyumba hivyo vinakuwa ni vidogo kwa maana kwamba havitoshelezi mahitaji yetu. Watu wengi sana wanatamani kuweka vitu vizuri katika nyumba zao lakini wanakosa nafasi.

Sasa leo nakuletea picha ambazo zinaweza kukusaidia kupangilia vitu vingi katika chumba kidogo.

*Nyumba nyingi zinakuwa na muhonekano kama huu;

image_search_1494857323984.jpg

image_search_1494857127119.jpg

image_search_1494857166560.jpg


*Tuanzie sebuleni..
7b1869f334a3e85a207b17deb939e25c.jpg

1d6f9d7bdda4bceaf8aa42c5e94bf403.jpg

475f56984a819feb9ca177240252eea7.jpg


- Sebule nyingi kama unavyoziona zinaonekana zina mashelf mengi, hii ni kwa sababu ya kuweka vitu vidogo vidogo kama vile vitabu na viurembo vingine pia hata glass za wine na whisky.

*Pia kama sebule yako ni ndogo zaidi, unaweza tumia coffee table zenye drawers kama hizi;
65a7e63b504871202caca1c7d8eec6bd.jpg

5e32e7a086f7a1ac374113a79f93f85f.jpg

3d1fdd51284d5a58210e614fe4c165ed.jpg


*Kwa upande wa chumba cha kulala unaweza pangilia chumba chako namna hii;
81538bcef5029ca9ef92dce802f4e87f.jpg

b53bb1c2e0b99f9fc0976de326d0d973.jpg
Hii inawafaa sana wanandoa au couples.

Kwa upande wa wanafunzi au wafanyakazi wa ofisini unaweza pangilia hivi;
38e915139782c9027e78a1a0470d908d.jpg

97cdc491dbd1d48fb90f814be39bddce.jpg


Pia kama chumbani kwako hakuna nafasi ya kutosha kuweza kuweka kabati la nguo, jaribu kununua kitanda chenye drawers ili uweze kuweka mashuka, blanketi na baadhi ya nguo zako hata vitabu.

db4f3ba346721060d36e8103c04a6107.jpg

c82b4bd7900cb73164e41079645a407c.jpg

318f655013fbf0aa19c0249442929a8c.jpg


*Kwa upande wa toilet and bathroom unaweza iga hii hapa;
c278c1fffe54e67f184f0a3eb9af5f73.jpg
1f211e6696a5db291dede5045b4d7d8d.jpg
1382b6c066d7f041ec82f916b14ec54f.jpg


Kama unavyoona mabafu mengi yameungana na choo, pia kuna drawers chache kwa ajili ya kuhifadhi mataulo.
 
Najua asilimia kubwa ya Watanzania hapa nchini wanaishi kwenye Nyumba za kawaida, nyingi zinakuwa na vyumba kuanzia 2 - 4, pia vyumba hvyo vinakuwa ni vidogo kwamaana kwamba havitoshelezi mahitaji yetu. Watu wengi sana wanatamani kuweka vitu vizuri katika nyumba zao lakini wanakosa nafasi.
Sasa leo nakuletea picha ambazo zinaweza kukusaidia kupangilia vitu vingi katika chumba kidogo.


*Nyumba nyingi zinakuwa na muhonekano kama huu;View attachment 509675
View attachment 509676View attachment 509677

* Tuanzie sebuleni;
7b1869f334a3e85a207b17deb939e25c.jpg

1d6f9d7bdda4bceaf8aa42c5e94bf403.jpg

475f56984a819feb9ca177240252eea7.jpg

-Sebule nyingi kama unavyoziona zinaonekana zina mashelf mengi, hii ni kwasababu yakuweka vitu vidogo vidogo kama vile vitabu na viurembo vingine pia hata glass za wine na whisky.

*Pia kama sebule yako ni ndogo zaidi, unaweza tumia coffee table zenye drawers kama hizi;
65a7e63b504871202caca1c7d8eec6bd.jpg

5e32e7a086f7a1ac374113a79f93f85f.jpg

3d1fdd51284d5a58210e614fe4c165ed.jpg


*Kwa upande wa chumba cha kulala unaweza pangilia chumba chako namna hii;
81538bcef5029ca9ef92dce802f4e87f.jpg

b53bb1c2e0b99f9fc0976de326d0d973.jpg
hii inawafaa sana wanandoa au couples.
Kwa upande wa wanafunzi au wafanyakazi wa ofisini unaweza pangilia hivi;
38e915139782c9027e78a1a0470d908d.jpg

97cdc491dbd1d48fb90f814be39bddce.jpg

Pia kama chumbani kwako hakuna nafasi ya kutosha kuweza kuweka kabati la nguo, jaribu kununua kitanda chenye drawers ili uweze kuweka mashuka, blanketi na baadhi ya nguo zako hata vitabu.
db4f3ba346721060d36e8103c04a6107.jpg

c82b4bd7900cb73164e41079645a407c.jpg

318f655013fbf0aa19c0249442929a8c.jpg


*Kwa upande wa toilet and bathroom unaweza iga hii hapa;
c278c1fffe54e67f184f0a3eb9af5f73.jpg
1f211e6696a5db291dede5045b4d7d8d.jpg
1382b6c066d7f041ec82f916b14ec54f.jpg
kama unavyoona mabafu mengi yameungana na choo, pia kuna drawers chache kwa ajili ya kuhifadhi mataulo.
Nataka ramani kama hizi , Nina kiwanja kidogo nataka nijenge kwa mfumo wa L au T
 
Back
Top Bottom