Mr perfect
Senior Member
- May 17, 2013
- 152
- 141
Of course kwa sasa nyumba haitaji uwe na mazagazaga mengi ndani yapasa uwe na nafasi ya kutosha...furniture nzuri na kisasa binafsi nmependa kwa nyumba ya kisasa pia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni nyumba za biashara.Mtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Kwanini mkuu? labda ni bachelor nyumba kubwa ya nini niko peke yangu.... au kuvutia majambaziMtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Kipato kikiwa kikubwa nitajenga nyumba kubwa.Kumbuka kuwa maisha hubadilika, unaweza anza maisha na kipato kidogo lakini baadae kipato kikakua
Wala hakuna haja ya kumpima unapigia tiki tu!Mtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Tambua maisha hubadilika,pia hakuna ajuaye kesho yake na ndiyo maana tunaanzia kwanza kupanga Nyumba za wenzetu na mwisho tunajenga zetuMtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
[emoji3] sio kila mtu anapenda Hekalu. mimi ni miongoni mwa watu ambao napenda kuishi kwenye vyumba vi3 tu ... halafu napenda kama hivo kitanda kina drw nyingi zinazofanya unasave space.Mtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Hzo unaweza kumpa fundi wako designs then mkakubaliana bei mkuu.hizo coffee table zipo vizuri zinauzwa bei gani?
Nyumba zenye mazagazaga mengi zinachosha akili, zinaua vipaji asee.Sawa mkuu ila ajitahidi kukuza nyumba badala ya kubanana kwenye nyumba ndogo hivyo
Zipo za kutosha, pesa yako2nataka ramani kama hizi , Nina kiwanja kidogo nataka nijenge kwa mfumo wa L au T
Watu wa negativity ni small minded persons, hata kama rangi ni nyekundu watasema ni black.Mtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Wewe upo kama mimi napenda simple tu lkn inakua classic plus ukiwa msafi unaweza jisahsu kama upo duniani[emoji3] sio kila mtu anapenda Hekalu. mimi ni miongoni mwa watu ambao napenda kuishi kwenye vyumba vi3 tu ... halafu napenda kama hivo kitanda kina drw nyingi zinazofanya unasave space.