Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
Hahahaa, kwa hiyo hiyo si kazi nzuri? Interior design ni moja ya kazi zisizojulikana lakini zinalipa sana; project moja ya nyumba ya kuishi vyumba viwili, sebule, jiko si chini ya 2M, na ni kazi ya siku kadhaa tu anadesign, unaconfirm, anakabidhi kazi kwa contructor wako! Kama unataka akuchagulie na kukupangia fenicha pesa inaongezeka!!!
Ni kweli madela yanaharibu mvuto wa mwanamke hasa nyakati ambazo wewe na mpenzi wako mnakuwa faragha. Huwezi kunivalia mat-shirt makubwa au madela halafu ukategemea mimi nipate hisia za kufanya mapenzi na wewe. Lazima univalie nguo zenye mvuto na ninazozipenda ambazo wewe unajua kabisa nikiziona tu mwiliko wako lazima babu aamke huko kwenye suruali.
Young Master wewe hujaoa na huna watoto.
Unadhania unaweza kuweka hizo white ukiwa na watoto wadogo? Umetandika tu anakuja spidi kutoka nje na anarukia kitanda na kurukaruka hapo juu.
Unaishiwa nguvu lakini unabaki kukataza na kuangalia tu na hasa ukiona katoto kanavofurahia basi unamezea.
Hiyo ndiyo real life hata ukijifanya mzungu vipi.
Sasa li-tshirt nililopigilia saa hizo si la kwako? Bado halitakuvutia?
In short, hiki ni kipengele ambacho wengi wetu tunakipotezea!
Hakuna kinachoshindikana katika dunia hii. Kwa nini usiweze mkuu?
Nikimalizia nyumba yangu ntakutafuta unisaidie hla kwa mazingira ya sasa ni big nou!
Sasa hapo ndipo unapoona umhimu wa kuwatengea watoto chumba chao. Kwani wazungu inamaana hawana watoto ndio maana ni wasafi? Kwa nini sisi tushindwe?
Na kwa wale tunaoishi chumba kimoja na kila kitu tunahifadhi humohumo.....bado na katoto kanaingiza mchanga mpaka ndani kitandani?
Utanivunja mbavuu duuh[emoji23] [emoji23]Mtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Kumbuka kuwa maisha hubadilika, unaweza anza maisha na kipato kidogo lakini baadae kipato kikakuaMtu akiwa na hela za kutosha kununua vitu kama hivyo na amejenga nyumba ndogo apimwe akili
Nataka ramani kama hizi , Nina kiwanja kidogo nataka nijenge kwa mfumo wa L au TNajua asilimia kubwa ya Watanzania hapa nchini wanaishi kwenye Nyumba za kawaida, nyingi zinakuwa na vyumba kuanzia 2 - 4, pia vyumba hvyo vinakuwa ni vidogo kwamaana kwamba havitoshelezi mahitaji yetu. Watu wengi sana wanatamani kuweka vitu vizuri katika nyumba zao lakini wanakosa nafasi.
Sasa leo nakuletea picha ambazo zinaweza kukusaidia kupangilia vitu vingi katika chumba kidogo.
*Nyumba nyingi zinakuwa na muhonekano kama huu;View attachment 509675
View attachment 509676View attachment 509677
* Tuanzie sebuleni;
-Sebule nyingi kama unavyoziona zinaonekana zina mashelf mengi, hii ni kwasababu yakuweka vitu vidogo vidogo kama vile vitabu na viurembo vingine pia hata glass za wine na whisky.
*Pia kama sebule yako ni ndogo zaidi, unaweza tumia coffee table zenye drawers kama hizi;
*Kwa upande wa chumba cha kulala unaweza pangilia chumba chako namna hii;
hii inawafaa sana wanandoa au couples.
Kwa upande wa wanafunzi au wafanyakazi wa ofisini unaweza pangilia hivi;
Pia kama chumbani kwako hakuna nafasi ya kutosha kuweza kuweka kabati la nguo, jaribu kununua kitanda chenye drawers ili uweze kuweka mashuka, blanketi na baadhi ya nguo zako hata vitabu.
*Kwa upande wa toilet and bathroom unaweza iga hii hapa;kama unavyoona mabafu mengi yameungana na choo, pia kuna drawers chache kwa ajili ya kuhifadhi mataulo.
Kumbuka kuwa maisha hubadirika, unaweza anza maisha na kipato kidogo lakini baadae kipato kikakua