Jinsi ya kupata kazi za remote katika mashirika ya kimataifa yaliyo nje


Naongezea kidogo, ili kupata kazi kwa urahisi kupitia linkedin hakikisha ume-verify account yako.

Kwa passport ya kusafiria inatosha kabisa (kuverify ni BURE), ukishaverify content yoyote utakayopost itawafikia watu wengi zaidi.

Kingine jiunge ma-group ya watu ambao mna interest moja eg. Digital marketing group ,inasaidia kutengeneza connection zaidi.
 
Shukrani sana mkuu kwa nyongeza kuntu hiyo!
 
Shukrani sana mkuu kwa nyongeza kuntu hiyo!


Mkuu ukitoa kazi zinazohusu mambo ya IT au computer

Je naweza kupata hizo kazi za remote Kama Therapist au psychologist ? Au mentor .

Naomba kupata insight hapo mkuu.

Nimekuwa nikifanya kazi ya therapist huku Tanzania na Kama consultant kwenye mambo ya mentorship mainly in personal growth .

Hivyo naomba unipe hints ukitoa kazi za computer je upande wa Afya ya Akili soko lake lipoje.

🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Mambo vipi mkuu, mimi ni education pro. Ni mwalimu by profession na pia nimewai fanya miradi ya elimu na kuandika Swahili articles za elimu, pia vitabu. Nina account ipo linked in nimejitahidi kufanya optimization lakini sijawai pata any contact ya mtu au shirika likiwa interested na mimi. Unaweza nishauri nifanye nini kuvutia recruiters wa mtandaoni? Na je hizo remote jobs mpaka sisi watu wenye background ya NGO zinakuwepo au ni IT jobs pekee?
 
Data Officer nipo hapa kama watahitajika Mkuu.
 
Mfano huyu anayeongelea anataka kazi remote alafu zinakuja kazi za udereva.., Huoni hapo next step ni kuombwa pesa za kukamilisha Viza na Work Permit au Safari ya kwenda US for interview
Linkedin inatabia ya kutuma email alerts kwa kazi zinazoendana na skills na professional yako hata kama haziko eneo lako. So yeye ni driver, wakati mwingine atapokea alerts za kazi za drivers hata wa nchi nyingine. Mimi nilishawahi pokea alert ya kazi inahusiana kampuni ya Tiktok tukazungumza vizuri na recruiter only kuja kugundua kuwa siko Ireland niko TZ na hiyo kazi ilikuwa inahitaji niwepo physically japo ilikuwa inahusu mtu ambaye anazungumza Kiswahili kwa ajili ya kufilter content za Kiswahili
 
Mkuu asante kwa moyo wako wa ukarimu!
Jambo usilolijua! Mimi nina account linkedin,nimekuwa nikiitiwa kujaribu jobs mbali mbali kulingana na professional yangu lakini nimekuwa nikipuuza kabisa! Nimekuwa nikionyeshwa connections mbali mbali lakini kwa kutojua nimekuwa nikipuuza kabisa.
Mkuu nashukuru nitalifanyia kazi nione impact yake ikoje!
 
Kuhusu cha kufanya kuvutia recruiters kwenye LinkedIn account yako:
-Post ukiongelea kuhusu kazi zako, post consistently... Zisipite siku 2 hujapost kule kuhusiana na kazi zako. Umesema wewe ni writer, umeandika arricles na vitabu mbalimbali. Je, umewahi kupost LinkedIn kuhusu articles zako? Kuelezea what you wrote, why is it important, what is it adding, etc?
Pia, unaweza kuinclude some photos labda ukiwa kwenye mkutano unaongea na watu, au unasikiliza muongeaji, then ukaandika kuhusu huo mkutano, ulikua ni wa kitu gani, na wewe umejifunza nini. Ukipost CONSISTENTLY, itafika muda people will start noticing you, na recruiters wataanza kukufuata.
Pia, kitu kingine unaweza fanya ni kuongeza RELEVANT connections-Mfano your fellow teachers & writers around the world- Check profiles, ukuona profile za watu wanaofanya kama unachofanya wewe, waombe u connect nao-Unavyp,idi ku grow your connections kwa watu wa field yako LinkedIn, unaongeza chances za wewe kuwa found na recruiter wa hiyo sector.
Issue ya pili, kwa vile umesema una ujuzi wa kuandika pia-Kwenye remote platforms kuna kazi nyingi sana kwa ajili ya watu wanaoweza kuandika (angalia mfano in the attached screenshot)-Hivyo unaweza kuomba kazi za mlengo huo wa mambo ya kuandika andika na content creation.
Samahani sana kwa kuchelewa kukujibu mkuu.
Digital Ticha
 

Attachments

  • Screenshot_2024-05-20-00-16-08-176_com.android.chrome.jpg
    468.8 KB · Views: 10
Karibu mkuu!
 
Yes, ni kweli kabisa, imewahi nitokea pia mara kadhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…