Jinsi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

Jinsi ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara

vizuri Kwa sasa Mimi bado mwanafunzi wa chuo kikuu,Ila Nimeweka UTT AMIS kiasi cha milioni Tatu,na ninaendelea kuuliza,my goal, nifikishe hata Milioni sita miaka miwili ijayo ili nianze bussiness officially!,as side hustle huwa naagiza bidhaa mbalimbali kupitia AliExpress nakuziuza,Sana Sana huwa na watches,bila Shaka umenipata Kaka!
Unajisikia sana wewe.....
Bado huyajui maisha....
Hizo ni juhudi za kasa ndani maji.....
 
Dogo wacha story za uongo

Chuo unachanzo gani cha mapato mpaka kufanya saving ya 3m?

Huna matumizi mengine?
Shida nyinyi ndo mibdset zenu ziko uko mbona kawaida kwa sasa mwanafunzi first year ana saving ya 3m, 2m ambayo iko out of any expenses huyo ni alikua anajishuhilisha kabla na kubana matumizi as maybe yuko kwao simple shida nini mkuu watu wa jf mna chosha.
 
Shida nyinyi ndo mibdset zenu ziko uko mbona kawaida kwa sasa mwanafunzi first year ana saving ya 3m, 2m ambayo iko out of any expenses huyo ni alikua anajishuhilisha kabla na kubana matumizi as maybe yuko kwao simple shida nini mkuu watu wa jf mna chosha.
Unaijua million 3 wewe

Chuo matumizi yake unayajua? Kula, kunywa, kuvaa, kulala, usafiri, simu, vocha, stationery na mambo mengine mengi
Au siku hizi mnapewa boom 20k Mimi sijui
 
Unaijua million 3 wewe

Chuo matumizi yake unayajua? Kula, kunywa, kuvaa, kulala, usafiri, simu, vocha, stationery na mambo mengine mengi
Au siku hizi mnapewa boom 20k Mimi sijui
Sio kila mtu anategemea boom people start college while they're making money
 
Unaijua million 3 wewe

Chuo matumizi yake unayajua? Kula, kunywa, kuvaa, kulala, usafiri, simu, vocha, stationery na mambo mengine mengi
Au siku hizi mnapewa boom 20k Mimi sijui
Duuh wejamaa umeamua kuwa mpumbavu inabidi tukuache na upumba wako kweli wasomi wetu ni baadh Yao ni pumba sasa hapo unaona cha ajabu nini mi nimesoma na watu mpo advance wap wanamiradi hom wengine wamefuga kuku,wengine mashambaa kuanzia hapo nikaamka nakuacha kujiona mtt sasa ww kama ulikuwa upo chuo upo upo tuu jamaa yupo tofaut Hilo boga lako[emoji706]
 
Duuh wejamaa umeamua kuwa mpumbavu inabidi tukuache na upumba wako kweli wasomi wetu ni baadh Yao ni pumba sasa hapo unaona cha ajabu nini mi nimesoma na watu mpo advance wap wanamiradi hom wengine wamefuga kuku,wengine mashambaa kuanzia hapo nikaamka nakuacha kujiona mtt sasa ww kama ulikuwa upo chuo upo upo tuu jamaa yupo tofaut Hilo boga lako[emoji706]
Mwambie kwanza milioni 3 nayo hela? Duh 🙄😆
 
Back
Top Bottom