Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
We mchekee🤓😆, hizo mbinu kani fundisha sana enzi zile.🤣🤣🤣🤣Shenzii
Sasa hivi sizi tumii, Maana naishia kupigwa makofi-😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mchekee🤓😆, hizo mbinu kani fundisha sana enzi zile.🤣🤣🤣🤣Shenzii
Kijana,ushindwe kabisa..😅Shida swaga zako za kizee😆😆
View attachment 2927479
Kwanza una swaga mbaya, pili sura mbaya 😄🤣.Kijana,ushindwe kabisa..😅
Bibi yako akiona unavyonipa aibu atasusa kupokea mabusu.
Ndio shemeji yako kanipendea hivi lakini...!Kwanza una swaga mbaya, pili sura mbaya 😄🤣.
View attachment 2927511
Ndio maana walikutwa maporini wakatwaliwa na wazungu, maana walifikiri ni jamii ya nyani waliochangamkaAcheni kuchanganya changanya mavitu alafu mnakula. Wazee wetu walikua wanakula mizizi na nyama tu
Hii ng'ombe ndio iliyo muepuka yeye 😂😂, .Hata cr7 asinge kubali😂Ndio shemeji yako kanipendea hivi lakini...!
Mdogo gani unamdomo mchafu hivyo?ndio maana yule binti kaepuka ng'ombe.🤣
Usiharibu thread ya biryan,pesa ya family nilitumia na mrembo.Hii ng'ombe ndio iliyo muepuka yeye 😂😂, .Hata cr7 asinge kubali😂
Nishaona dawa yako ni kukuchana ukweli😂, since uondoke na remaining chenchi za familia🤣.
Sasa ukipika wewe.....au basiOk,nimeelewa ni rangi zenye taste.
Wait nikatafute rangi,
Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni
Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Ananitesa yule mwanamke,acha tu rafiki.Sasa ukipika wewe.....au basi
And that's why ma revenge shall never leave u.Usiharibu thread ya biryan,pesa ya family nilitumia na mrembo.
Bora unge nunua ng'ombe ka Mimi ili tupate maziwa🤓.
KisamvuNijute nini tena.
Hii thread ya chakula,leta tip za kupika mlenda hapa.
Chukua nyanya chungu zako mbili, Nita toa trick zaidi😂Hii thread ya chakula,leta tip za kupika mlenda hapa.
Kina itwaje hicho??, unaeza nitumia hard copy mdogo ako ni seek knowledge.